Wangefanya hivyo haraka cause mimi ni shabiki mkubwa sana wa Dar es salaam Young African Sports Club, naahindwa kabisa kuva uzi wa wana Jangwani wale kwasababu ya hawa magamba aise.
Wangefanya hivyo haraka cause mimi ni shabiki mkubwa sana wa Dar es salaam Young African Sports Club, naahindwa kabisa kuva uzi wa wana Jangwani wale kwasababu ya hawa magamba aise.
ndugu zangu huwa kuna indicators (viashiria ) vingi sana wakati roho inataka kuacha mwili. Hivi ni CCM ya lini ilishawahi hata kujabiru kubadili identity yake?? rangi yake?? vibwagizo vyake?? n.k
Haya mambo ni magumu !! kuna jambo kuu tunalishuhudia mwezi ujao!!