CCM wanalizana ni vilio mitaani

CCM wanalizana ni vilio mitaani

Mwiba

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2007
Posts
7,607
Reaction score
1,760
Nilipita nyumba ya mbunge wa CCM ,aloo nilisikia vilio tu wakilizana ,mara hii mumewangu hatushindi ,mtoto nae amwambia baba yake baba bora uende UKAWA ,ilikuwa kama kuna msiba.
 
Hivi viroba huwa mnapewa bure?

Ni true story,yaani kama si kutafutana muhali ningeliweka jina hapa ila tunaheshimiana sana sana na demokrasia imetutawala na kwa vile ni jambo la haibu na kuzidiwa bora ,imeeleweka ya kuwa dani ya CCM mambo ipo na tabu sana,
 
Nilipita nyumba ya mbunge wa CCM ,aloo nilisikia vilio tu wakilizana ,mara hii mumewangu hatushindi ,mtoto nae amwambia baba yake baba bora uende UKAWA ,ilikuwa kama kuna msiba.

Na bado 2 watalia hadi Oct 2020
 
Hii sindano ya mwaka huu ni ya ng'ombe kwenye tako la binadamu.
 
hakuna sehemu ambayo husikii vilio vya CCM ,wamebanwa mbavu na Mtakatifu Lowasa. Mwaka huu Miccm lazima maji mtayaita mee !
 
Magufuli azidi kuwaliza wenzake kwa kunadi watu wa chama kingine !
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom