CCM wanaiharibu nchi

CCM wanaiharibu nchi

maganjwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2012
Posts
2,806
Reaction score
2,349
Shughuli ya kubadili vifungu vya sheria pamoja na minongono ya chini kwa chini ya kubadili katiba ikichagizwa na baadhi ya wabunge pamoja na spika siyo ya kupuuzwa. Waswahili walisema lisemwalo lipo kama halipo linakuja.

Mimi nasema hilo iko wazi kabisa na maandalizi imeanza leo Dodoma kuwaingiza watu wasio na sifa kisheria kuwa wanasheria wa kiwango cha mawakili hayo yote yanafanywa kumlenga nani? Kuna watu wanalengwa na kwa sababu za kisheria hawawezi kuwa mawakili kwa hiyo siku wakishamaliza yao, hao watu watakuwa viongozi wakubwa serikalini na kazi yao ni kufuata maelekezo ya aliyewasaidia kuwa pale.

Haiingii akilini kutoa upendeleo kwa jambo la kisheria ambalo limewekwa ili kuwa na weledi katika fani ya sheria kwa hiyo shughuli hii inayoendelea dodoma inanajisi tasnia ya sheria Tanzania.

Baada ya hapo kuna kazi kubwa inakuja Novemba ya kuwa na bunge la chama kimoja cha siasa CCM na ndipo itakapofanyika jambo kubwa la kihistoria. Watu wanajaribu kubisha bisha lakini mimi nawauliza watanzania walishakataa nini wakashinda.

Mkinipa jibu kwa swali langu hilo wanayowaza yanaweza kufeli. Kwangu mimi kama sio kutania na wamedhamiria kweli basi imepita siku nyingi sana sheria hiyo ya kumpa mkulu zaidi ya miaka kumi.
 
Yaani bunge lote mipasho tu ,wabunge 300 wameshindwa kuisimamia ,kuwajibisha serikali ,ajira za vijana hakuna wapo busy kumwongezea jiwe muda wa kukaa ikulu
 
Yaani bunge lote mipasho tu ,wabunge 300 wameshindwa kuisimamia ,kuwajibisha serikali ,ajira za vijana hakuna wapo busy kumwongezea jiwe muda wa kukaa ikulu
Si mlisemaga hamfiatilii bunge mkuu? Umejuaje haya?
 
Yaani bunge lote mipasho tu ,wabunge 300 wameshindwa kuisimamia ,kuwajibisha serikali ,ajira za vijana hakuna wapo busy kumwongezea jiwe muda wa kukaa ikulu
Hilo linalokuja la Novemba ni balaa buluu mkuu hakutakuwa na upinzani.
 
Mara hii issue ya kuvamiwa na wasiojulikana imekwisha .......! Mbona M/kiti bado yupo Hospitai hlf sisi tunaanzisha mada ingine haraka hivi..? Hatuna uchungu na M/kiti kwa kiwango hichi...!!
 
Shughuli ya kubadili vifungu vya sheria pamoja na minongono ya chini kwa chini ya kubadili katiba ikichagizwa na baadhi ya wabunge pamoja na spika siyo ya kupuuzwa. Waswahili walisema lisemwalo lipo kama halipo linakuja.

Mimi nasema hilo iko wazi kabisa na maandalizi imeanza leo Dodoma kuwaingiza watu wasio na sifa kisheria kuwa wanasheria wa kiwango cha mawakili hayo yote yanafanywa kumlenga nani? Kuna watu wanalengwa na kwa sababu za kisheria hawawezi kuwa mawakili kwa hiyo siku wakishamaliza yao, hao watu watakuwa viongozi wakubwa serikalini na kazi yao ni kufuata maelekezo ya aliyewasaidia kuwa pale.

Haiingii akilini kutoa upendeleo kwa jambo la kisheria ambalo limewekwa ili kuwa na weledi katika fani ya sheria kwa hiyo shughuli hii inayoendelea dodoma inanajisi tasnia ya sheria Tanzania.

Baada ya hapo kuna kazi kubwa inakuja Novemba ya kuwa na bunge la chama kimoja cha siasa ccm na ndipo itakapofanyika jambo kubwa la kihistoria. Watu wanajaribu kubisha bisha lakini mimi nawauliza watanzania walishakataa nini wakashinda.

Mkinipa jibu kwa swali langu hilo wanayowaza yanaweza kufeli. Kwangu mimi kama sio kutania na wamedhamiria kweli basi imepita siku nyingi sana sheria hiyo ya kumpa mkulu zaidi ya miaka kumi.
Kwakweli hali ya taifa letu kwa sasa inasikitisha na kukatisha tamaa sana!
 
Shughuli ya kubadili vifungu vya sheria pamoja na minongono ya chini kwa chini ya kubadili katiba ikichagizwa na baadhi ya wabunge pamoja na spika siyo ya kupuuzwa. Waswahili walisema lisemwalo lipo kama halipo linakuja.

Mimi nasema hilo iko wazi kabisa na maandalizi imeanza leo dodoma kuwaingiza watu wasio na sifa kisheria kuwa wanasheria wa kiwango cha mawakili hayo yote yanafanywa kumlenga nani? Kuna watu wanalengwa na kwa sababu za kisheria hawawezi kuwa mawakili kwa hiyo siku wakishamaliza yao, hao watu watakuwa viongozi wakubwa serikalini na kazi yao ni kufuata maelekezo ya aliyewasaidia kuwa pale.

Haiingii akilini kutoa upendeleo kwa jambo la kisheria ambalo limewekwa ili kuwa na weledi katika fani ya sheria kwa hiyo shughuli hii inayoendelea dodoma inanajisi tasnia ya sheria tanzania.

Baada ya hapo kuna kazi kubwa inakuja Novemba ya kuwa na bunge la chama kimoja cha siasa ccm na ndipo itakapofanyika jambo kubwa la kihistoria. Watu wanajaribu kubisha bisha lakini mimi nawauliza watanzania walishakataa nini wakashinda

Mkinipa jibu kwa swali langu hilo wanayowaza yanaweza kufeli. Kwangu mimi kama sio kutania na wamedhamiria kweli basi imepita siku nyingi sana sheria hiyo ya kumpa mkulu zaidi ya miaka kumi
Lipo Tulilo kataa na tukashinda......mfano fao la uzeeni.......hakuna miaka 60 ........sio mpaka ufikishe hiyo miaka.........ila na wewe unareta uzi hapa kwa lawama inawezekana hata aliyekusomesha haoni faida .....maaana ukitoa kujua kuandika na kusoma basi ni kiingereza tu ulichonacho....... wewe unafikiri au unapenda kuwa na baba wa kambo?? Ccm kumuachia mtu mwingine yeyote achukue madaraka ni sawa na baba ako akubali mama ako arete baba ako mwingine....watu waliutafuta uhuru kwa tabu harafu waje waugawe bure tu urais
 
Mkuu hili linafikirisha sana tena sana na siyo suala la mzaha. Nchi iko hatarini na itakuwa htarini zaidi huko mbeleni. Haya yanachukuliwa kishabiki wa vyama wakifikiri wanawakomoa Chadema kumbe tunajichimbia kaburi wenyewe.

Kwanini hili suala la muda limekuwa na nguvu sana Bungeni hasa kipindi hiki cha uchaguzi mkuu?? Hakika kuna jambo kubwa mbeleni.

Nimewaza kwanini Ben Mkapa alimleta mtu huyu?? Kwanini Jakaya Kikwete hakutuachia Katiba Mpya?? Je pale walipo wanafurahiya matendo haya?? Je kuna jambo wanaweza kulitenda kulinusuru Taifa?? Je sisi raia tuna jambo tunaloweza kufanya??

Nini kitatokea endapo hakutakuwepo na upingaji wa aina yeyote ni kwamba ccm na serikali yake watahakikisha hakuna Mbunge wala Diwani kutoka kwenye Vyama Vyenye Upinzani wa Kweli atakayeshinda. Baada ya hapo hakuna mtu au kiongozi yeyote wa kisiasa atakayeruhusiwa kufanya shughuli za kisiasa kama siyo Dwani au Mbunge.

Kwamaana nyingine vyama vile ambavyo vitakuwa ni maadui wa ccm hivitasikika tena hadi pale utawale wa kishetani utakapomaliza muda wake Tanzania. Kwa sasa ccm wanaweza wasinielewe kwani kwao wanaona ni faida kwa upande wao.

CCM imekuwa ikipambana kwa miaka mingi dhidi ya Upinzani bila mafanikio. Ktk awamu hii ya tano wameamua liwalo na liwe iwe kwa kukanyaga Katiba au kuzipindisha kwa makusudi Sheria za nchi kuhakikisha wanatimiza malengo yao.

Endapowatafanikiwa ktk ushetani wao huo basi baada ya uchaguzi hali itamuwa mbaya zaidi kwa wana ccm kwani ukishazoea ubaguzi vita kulipiza kisasi basi hayo yote yatakuwa ndani mwao. Hapo ndipo watakapoelewa ni nini hasa Wapinzani walichokuwa wakikipigania na kwanini ccm iliwachukia.
Na hapo ndipo watakapogundua malengo ya wachache ndani ya chama chao cha ccm.
 
Lipo Tulilo kataa na tukashinda......mfano fao la uzeeni.......hakuna miaka 60 ........sio mpaka ufikishe hiyo miaka.........ila na wewe unareta uzi hapa kwa lawama inawezekana hata aliyekusomesha haoni faida .....maaana ukitoa kujua kuandika na kusoma basi ni kiingereza tu ulichonacho....... wewe unafikiri au unapenda kuwa na baba wa kambo?? Ccm kumuachia mtu mwingine yeyote achukue madaraka ni sawa na baba ako akubali mama ako arete baba ako mwingine....watu waliutafuta uhuru kwa tabu harafu waje waugawe bure tu urais
nyerere mwenyewe alisema ccm sio mama yangu wala baba yangu wewe unasema eti ni kama baba ccm haina hati miliki ya nchi hii
 
Back
Top Bottom