Dalton elijah
JF-Expert Member
- Jul 19, 2022
- 780
- 1,831
Baada ya Kuona Majina Yametangazwa Na Chama Cha Mapinduzi Nimegundua Kuwa CCM wana hitaji Mabadiliko Kuliko Chama Chochote Kwa Hapa Tanzania
1)kutokuheshim Maamuzi Ya Wajumbe .
2)Chama Kinaendeshwa Na Wakubwa Mwanachama Wa Kawaida Hana Chake Kabisa ..labda Kupewa Baiskeli,Bodaboda Na Fedha Ndogo
3)Chama Kimepoteza Mvuto Na Hakioendwi Na Wananchi
4)Chama Hakifuti Katiba Yake Na Kinavunja Katiba Ya Nchi Kila Uchao
5)Chama Kimegeuka Genge La Wahuni Na Wafanya Biashara
©®
1)kutokuheshim Maamuzi Ya Wajumbe .
2)Chama Kinaendeshwa Na Wakubwa Mwanachama Wa Kawaida Hana Chake Kabisa ..labda Kupewa Baiskeli,Bodaboda Na Fedha Ndogo
3)Chama Kimepoteza Mvuto Na Hakioendwi Na Wananchi
4)Chama Hakifuti Katiba Yake Na Kinavunja Katiba Ya Nchi Kila Uchao
5)Chama Kimegeuka Genge La Wahuni Na Wafanya Biashara
©®