CCM wanafanya kampeni kwenye nyumba za Ibada

CCM wanafanya kampeni kwenye nyumba za Ibada

SUNGURA-MJANJA

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2014
Posts
200
Reaction score
33
Kulikuwa tamasha la uzinduzi wa albamu ya nyimbo za Injili..Ndipo mgeni rasmi ambaye ni "Afisa tawala wilaya ya Mbinga aliposema. Msimamo wa Serikali ni mfumo wa Serikali 2 Kama alivyosema mh.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa TZ kwenye hotuba yake ya ufunguzi wa bunge la Katiba. Alisema tunawaomba wananchi kuunga mkono msimamo huu wa serika 2..Swali: wabunge wa bunge maalum la katiba wanafanya nini kama Serikali imeshatoa msimamo wa Serikali 2? Je' kauli ya mh Rais inaweza kuwa kauli ya mwisho? Nawasilisha
 
Hilo ni tatizo la mfumo wa serikali yetu' tulitarajia katiba mpya ndo ingekuwa muarobaini wa mgongano huu, lakini mainterahamwe wameanza kuteka majumba ya ibada na kupiga kampeni dhidi ya serikali 2! Watanzania hatuwezi kupata katiba mpya kwa staili hii ya mainterahamwe na makuwadi wao!
 
Hilo ni tatizo la mfumo wa serikali yetu' tulitarajia katiba mpya ndo ingekuwa muarobaini wa mgongano huu, lakini mainterahamwe wameanza kuteka majumba ya ibada na kupiga kampeni dhidi ya serikali 2! Watanzania hatuwezi kupata katiba mpya kwa staili hii ya mainterahamwe na makuwadi wao!
ccm ndio watakaotuletea vita nchini
 
ccm ndio watakaotuletea vita nchini
Vipi ile vita yenu ya kifamilia ya kutuhumiana uchawi..... IMELETWA NA CCM?????
after all, vita baina ya nani na nani?
Watakaoleta chokochoko WANAPIGWA TUU.
kawaulize MCC Kule kenya ndio utajua dawa ya VISONOKO ni nini ...
 
Vipi ile vita yenu ya kifamilia ya kutuhumiana uchawi..... IMELETWA NA CCM?????
after all, vita baina ya nani na nani?
Watakaoleta chokochoko WANAPIGWA TUU.
kawaulize MCC Kule kenya ndio utajua dawa ya VISONOKO ni nini ...
hayo unayoyasema ni kwa sababu unapata kidogodogo kwa wale wanaoibia taifa hili lakini kwa busara yako ndogo unadhani familia yako au watoto wako kama una watoto wote wna mawazo kama yako,hivyo watakaopigwa sio lazima wawe watu usiowapenda tu, wenzio viongozi wa ccm hawajali hilo wao wanajiangalia wao tu,ndio maana wanafanya wanavyotaka,kama wewe huko sawa nao sawa
 
Huko ni kutmiwa.huyo afisa amuulize bashe na mpesya walitiwa km mpira wa....
 
Back
Top Bottom