CCM wanaeneza COVID 19 kwa makusudi?

Elli

Platinum Member
Mar 17, 2008
55,491
86,007
Makada na viongozi was ccm wanaendelea kufanya mikusanyiko bila kuchukua tahadhari, week hii tumeshuhudia UVCCM wakifanya mkutano Dodoma, Katambi akifanya mikusanyiko Kahama, Mwigulu akijifanya kuzuiwa na Wananchi Tunduma,

CCM wakiwa wamejificha nyumbani wakifanya mikutano bila kuchukua tahadhari, shughuli za Mwenge nazo zikiendelea kama kawaida....

Najiuliza, HAWA CCM WANAFANYA HAYA KWA MAKUSUDI AU?? Muda utaongea!

Wakati @ChademaTz wakizuiwa kufanya Kongamano la katiba Jijini Mwanza kuepusha maambukizi ya Corona Mkoani humo,mbunge wa Nyamagana Stanslaus Mabula ameendelea kufanya mikutano na wananchi huku kukiwa hakuna tahadhari zozote zinazochukuliwa dhidi ya Covid 19 Kwenye mikutano hiyo
20210725_064748.jpg
 
Acha chokochoko fanya kazi
Bora umeona hilo, huyu Mangi yeye nyuzi zake zooote ni choko choko tu anawashwa mpaka ma-kalio-ni yani. Mara COVID mara Samia, mara Kile. It seeems pessa imemwagwa kwa Vyama pinzani ili kuipa kick CORONA na CHANJO zake. Sasa hawaa akina Ell na CHADEMA kwa ujumla ni madalali wa Mabeeru ili ajenda yao ifanikiwe. Ndio maaana Mmiliki wao Bw. Mbowe anasisitiza CHANJO LAZIMA ili kuwafurahisha waliomtuma. Thread za huyu ell na kundi lake hapa JF zimejaza Jukwaa la Siasa kwahiyo wamezuia hata vitu vingine kujadiliwa. Mods tunaomba muuunganishe nyuzi za Ell na kundi lake ziende Uzi mmoja wa COVID 19
Wajinga sana hawa hawa chawa wa Mabeberu.
 
Bora umeona hilo, huyu Mangi yeye nyuzi zake zooote ni choko choko tu anawashwa mpaka ma-kalio-ni yani. Mara COVID mara Samia, mara Kile. It seeems pessa imemwagwa kwa Vyama pinzani ili kuipa kick CORONA na CHANJO zake. Sasa hawaa akina Ell na CHADEMA kwa ujumla ni madalali wa Mabeeru ili ajenda yao ifanikiwe. Ndio maaana Mmiliki wao Bw. Mbowe anasisitiza CHANJO LAZIMA ili kuwafurahisha waliomtuma. Thread za huyu ell na kundi lake hapa JF zimejaza Jukwaa la Siasa kwahiyo wamezuia hata vitu vingine kujadiliwa. Mods tunaomba muuunganishe nyuzi za Ell na kundi lake ziende Uzi mmoja wa COVID 19
Wajinga sana hawa hawa chawa wa Mabeberu.
Beberu kakuletea chanjo!
 
Back
Top Bottom