lendila
JF-Expert Member
- Sep 26, 2012
- 5,805
- 4,374
Ccm wana haki ya kuchukia,baba askofu kakobe amewaharibia Kiki yao ya Hama Hama kwa dakika 2 tu,wakati ccm,na watu wao waliandaa hiyo Kiki kwa garama kubwa sana
Kuna usemi wa kihenga unasema ukitaka kujua kama kuna wadudu kwenye mashimo,mwaga maji ya moto,swali ni je baba askofu kakobe amemwaga maji ya moto kwenye shimo?maana taasisi zote za serekali,pamoja na taasisi za chama cha mapinduzi zimeshajitokeza hadharani na kumtisha baba askofu kakobe,kilichobaki ni kupimwa mkojo,kuhojiwa uraia wake,na kupewa kesi ya uchochezi tu,pamoja na hayo yote kwa maoni yangu ccm walikuwa na haki ya kuchukia sana,maana baba askofu kakobe amewaharibia sinema yao yote,na sanaa yote ilikuwa inaratibiwa na chama cha ccm
Na bado kila nyoka atatoka pangoni kwa wakati wake
Dakika 2 tu za baba askofu kakobe zimehariki Kiki zote za ccm zilizoratibiwa kwa karibu miaka 2 na zaidi
Kuna usemi wa kihenga unasema ukitaka kujua kama kuna wadudu kwenye mashimo,mwaga maji ya moto,swali ni je baba askofu kakobe amemwaga maji ya moto kwenye shimo?maana taasisi zote za serekali,pamoja na taasisi za chama cha mapinduzi zimeshajitokeza hadharani na kumtisha baba askofu kakobe,kilichobaki ni kupimwa mkojo,kuhojiwa uraia wake,na kupewa kesi ya uchochezi tu,pamoja na hayo yote kwa maoni yangu ccm walikuwa na haki ya kuchukia sana,maana baba askofu kakobe amewaharibia sinema yao yote,na sanaa yote ilikuwa inaratibiwa na chama cha ccm
Na bado kila nyoka atatoka pangoni kwa wakati wake
Dakika 2 tu za baba askofu kakobe zimehariki Kiki zote za ccm zilizoratibiwa kwa karibu miaka 2 na zaidi