CCM wana haki ya kuchukia

CCM wana haki ya kuchukia

Sasa hivi waombe angalao zile ndege ziachiwe,nafikiri hiyo na kuhamia dodoma ndio Kiki zao za mwisho
 
Kiki ya Gwajima imebuma sasa inasakwa ya KAKOBE
Sio kiki bali ni agizo kutoka kwa mtu wa Mungu. Toba! Kama kwako kutubu ni kutafuta kiki kwa Muumba wako ni bora kuliko kutafuta kiki kumsakama!
Siamini kama Kakobe kakunyima raha kwa kiasi hiki kwani kaandiko kako kamekaa kinyonge sana! Katubu.
 
Fake accident inaandaliwa, very soon kuna kiongozi wa dini atapatwa na ajari au kuvamiwa na majambazi
 
Sio kiki bali ni agizo kutoka kwa mtu wa Mungu. Toba! Kama kwako kutubu ni kutafuta kiki kwa Muumba wako ni bora kuliko kutafuta kiki kumsakama!
Siamini kama Kakobe kakunyima raha kwa kiasi hiki kwani kaandiko kako kamekaa kinyonge sana! Katubu.
Andiko langu linawakumbusha wanachadema kuacha kutumia mbinu zile zile kujaribu kujiweka sawa...
ninawakumbusha Chadema kuwa walijaribu kiki za babu seya,shehe ponda,mange na gwajima bila mafanikio.
 
kweli kila mtu atatoa ya moyoni kwa wakati wake, kumbe tunaoumia hii inchi ni wengi ila muda wa kusema ndo tunapishana tu, kweli watu wamejawa na ujasiri sasa hawaogopi kusema yanayowasibu mioyoni mwao
Hakuna ambaye hajaguswa, walianza wana siasa wa upinzani wakaja watumishi wa umma, wakafuata wafanya biashara, then wakulima!. Nimesikitika sana leo, ITV wameonesha ngozi zikitupwa huko Njombe kisa serekali imepiga marufuku wanunuzi kwani kuna viwanda vya kusindika ngozi vinatarajiwa kufunguliwa.
 
Ile ya kumuachia Babu Seya imekufa kifo cha mende.
Ile ya VP kuhamia Dodoma imeanguka kifudifudi.
Ile ya kumtumbua Mkurugenzi wa NHC imekauka.
Kakobe amesema dawa ya kuokoa kiki zote hizi ni KUTUBU.
[HASHTAG]#Atubu[/HASHTAG]
walimpa Dr. slaa ubalozi wakitegemea atakuja kumwaga radhi mkutano mkuu wao pamoja na wanachama kibao nalo lilibuma
 
Andiko langu linawakumbusha wanachadema kuacha kutumia mbinu zile zile kujaribu kujiweka sawa...
ninawakumbusha Chadema kuwa walijaribu kiki za babu seya,shehe ponda,mange na gwajima bila mafanikio.
Maono yako ni dhaifu mno. Hili la Kakobe limebeba wanaccm na wengine. Kufikiri na kujiaminisha kuwa Kakobe ni mwanachama wa cdm na katumwa ni kujifariji kusiko na matumaini. Tafakari nje ya itikadi na akili huru utagundua kuwa walio wengi tena wenye itikadi sawa na wewe wanaumia mno.
 
Ile ya kumuachia Babu Seya imekufa kifo cha mende.
Ile ya VP kuhamia Dodoma imeanguka kifudifudi.
Ile ya kumtumbua Mkurugenzi wa NHC imekauka.
Kakobe amesema dawa ya kuokoa kiki zote hizi ni KUTUBU.
[HASHTAG]#Atubu[/HASHTAG]

Dah unawajua vizuri mkuu, yanabuma tu na mipovu yao.
 
HILIZI KIUNONI WAMELITOA HAO CCM?Baba askofu kasema kiongozi ana LIHIKIZI Kwa kiuno.


Taifa limegawanyika kabisa chanzo Fulani.

Watanzania daini katiba mpya na tume huru vinginevyo mtapata tabu sana.


Kila anayetoa mawazo yake sasa et ni mpinzani maajabu haya.


"I shared the same knife with your farther during curcumsicion" Betrayal in the city
na pengine sharti kubwa la hilo lihirinzi ni kutohudhuria kwenye misiba!!
 
Msiombe
Kiki ya Gwajima imebuma sasa inasakwa ya KAKOBE
msiombe Gwajima naye aamke maana huyu mmoja tu pumzi huko CCM imekata.

Chonde chonde baba Gwajima tulia kwanza ukiungana na baba Kakobe watatafutana Lumumba
 
Yusuph Makamba ndio aliharibu kila kitu aliposema rais aliona ushauri wake ni wa kipumbavu, watu wakaona chanzo cha vyuma kukaza ni kungozwa na mtu asiyeshaurika.
 
Jamani hili la hirizi kiunoni kwa mkulu liacheni tu kwa sababu tuna mtu wa ajabu mno yule anaweza AKAVUA NGUO hadharani.
 
Back
Top Bottom