Wakuu nimeshangazwa sana na kitendo cha mwenyekiti wa CCM ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupokelewa kwa shangwe na nderemo na wanachama wa CUF wakati alipowasili Tanga jana kwa sherehe za Meimosi. Je Tanga hakuna wanaccm, Kama kweli hali ndiyo hiyo namshauri tu ajiuzulu, kama alivyofanya Marehemu Mutharika.
Source: issamichuzi blog
Source: issamichuzi blog