CCM walipopatia ni hapa

CCM walipopatia ni hapa

nasrimgambo

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2017
Posts
1,919
Reaction score
2,520
CCM ina mambo yake yanakosolewa na watu ila kuna jambo moja wamelipatia sana, ambalo vyama vingi barani afrika vimefeli

nalo ni kujenga chama ambacho kinamjumuiko (inclusivity) ya watanzania karibu jamii zote

CCM ni chama cha matajiri, maskini, wasomi, wajinga, waislamu, wakristo, wahindu, mabaniani hadi washirikina,
wa kaskazini kusini mgharibi na mashariki, waluguru, wahaya, wanyakyusa hadi makabila tusiyowahi yasikia, waafrika weusi hadi wahindi na waarabu

vyama vya upinzani tz havina nguvu sababu wanabakiwa na hoja moja tu ya maendeleo, maendeleo ambayo ccm pia inayafanya kwa uwezo wake, tofauti na nchi nyengine ambapo vyama utakuta ni vya kikabila, kidini au kirangi matokeo yake uchaguzi ukija ni rahisi kuleta upinzani maana chama kinakuwa na jamii yake inayokisapoti

tz ukianzisha chama kikabila ama kidini jua hicho chama kitafeli maana li ccm lina kila aina ya mtu, chini ya CCM ni ngumu kumwambia mtanzania kuwa jamii yake inabaguliwa maana mtu akitazama kwa makini anaona mifano ya watu wa jamii yake wakiwa wamo ndani ya hiyo ccm

kwa hilo tu kongole kwa CCM
 
Hoja yako mleta mada ni namna ambayo CCM inajifichia. Kumbuka kuhama chama cha siasa ni rahisi kuliko kuhama dini. Huwezi badili rangi au dini lakini unaweza badili chama cha siasa vile unavyotaka.
CCM itaendelea kutawala kwa sababu ya hesabu hii:
1. MWENYEKITI WA CCM=RAIS
2. CCM=SERIKALI=TISS=POLISI
Hadi hapo CCM sio chama cha siasa, hakiwezi kushindana kwa hoja.
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI 👊
 
CCM ina mambo yake yanakosolewa na watu ila kuna jambo moja wamelipatia sana, ambalo vyama vingi barani afrika vimefeli

nalo ni kujenga chama ambacho kinamjumuiko (inclusivity) ya watanzania karibu jamii zote

CCM ni chama cha matajiri, maskini, wasomi, wajinga, waislamu, wakristo, wahindu, mabaniani hadi washirikina,
wa kaskazini kusini mgharibi na mashariki, waluguru, wahaya, wanyakyusa hadi makabila tusiyowahi yasikia, waafrika weusi hadi wahindi na waarabu

vyama vya upinzani tz havina nguvu sababu wanabakiwa na hoja moja tu ya maendeleo, maendeleo ambayo ccm pia inayafanya kwa uwezo wake, tofauti na nchi nyengine ambapo vyama utakuta ni vya kikabila, kidini au kirangi matokeo yake uchaguzi ukija ni rahisi kuleta upinzani maana chama kinakuwa na jamii yake inayokisapoti

tz ukianzisha chama kikabila ama kidini jua hicho chama kitafeli maana li ccm lina kila aina ya mtu, chini ya CCM ni ngumu kumwambia mtanzania kuwa jamii yake inabaguliwa maana mtu akitazama kwa makini anaona mifano ya watu wa jamii yake wakiwa wamo ndani ya hiyo ccm

kwa hilo tu kongole kwa CCM
Fafanua ni vyama vipi vipo kidini?kikabila

Bado hujaeleweka
 
Unajichosha sana Mjumbe, Kanywe maji kwanza
CCM ina mambo yake yanakosolewa na watu ila kuna jambo moja wamelipatia sana, ambalo vyama vingi barani afrika vimefeli

nalo ni kujenga chama ambacho kinamjumuiko (inclusivity) ya watanzania karibu jamii zote

CCM ni chama cha matajiri, maskini, wasomi, wajinga, waislamu, wakristo, wahindu, mabaniani hadi washirikina,
wa kaskazini kusini mgharibi na mashariki, waluguru, wahaya, wanyakyusa hadi makabila tusiyowahi yasikia, waafrika weusi hadi wahindi na waarabu

vyama vya upinzani tz havina nguvu sababu wanabakiwa na hoja moja tu ya maendeleo, maendeleo ambayo ccm pia inayafanya kwa uwezo wake, tofauti na nchi nyengine ambapo vyama utakuta ni vya kikabila, kidini au kirangi matokeo yake uchaguzi ukija ni rahisi kuleta upinzani maana chama kinakuwa na jamii yake inayokisapoti

tz ukianzisha chama kikabila ama kidini jua hicho chama kitafeli maana li ccm lina kila aina ya mtu, chini ya CCM ni ngumu kumwambia mtanzania kuwa jamii yake inabaguliwa maana mtu akitazama kwa makini anaona mifano ya watu wa jamii yake wakiwa wamo ndani ya hiyo ccm

kwa hilo tu kongole kwa CC
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom