CCM wakielekeza kura zao kwa ACT na CUF/LIPUMBA EALA, si jambo la kufurahia.

MAHANJU

JF-Expert Member
Aug 26, 2014
5,252
8,003
Endapo CCM wakawapigia kura wagombea wa ACT yaani Ktila Mkumbo na Albert Msando, pia Wakampigia mgombea kupitia CUF/LIPUMBA kuwapata wabunge EALA wapinzani kwa ujumla wanatakiwa kuwachukulia hawa kama maadui wakubwa wa mabadiliko nchini.

Sio tatizo wagombea wa ACT/CUF-Lipumba kuchaguliwa kuwakilisha EALA kupitia upinzani,wote ni wanasiasa wazuri wasiokua na shaka kwenye siasa zao lakini itakua ni jambo ambalo sio la kawaida Chama kikuu cha upinzani Kama CHADEMA kukosa uwakilishi kabisa ikizingatia kua kua uwakilishi wao bungeni ni wabunge zaidi ya 18%,kama ni hivyo basi kila chama cha cha upinzani kingetoa angalau mbunge mmoja.


Busara iliyokua imetumiwa na spika wa bunge kwa kuangalia uwiano wa uwakilishi kwenye bunge la muungano ni kubwa mno na ilikua ni ya kiuungwana. Zitto Kabwe alilipinga jambo hili makusudi kabisa huku akijua fika kua CCM hawako tayari kumpigia kura mbunge wa CHADEMA ikiwa tu kwenye uchaguzi wa TLS ambao haukua wa kisiasa walionesha misimamo yao wazi,anaona ni bora hata ACT yake isiyokua na mwakilishi kwa bunge la muungano au kumpigia kura Mnyaa mfuasi wa LIPUMBA ambaye ni kirusi cha mgogoro ndani ya Chama hicho na kuendelea kuinufaisha CCM.

Zitto Kabwe atambue kwamba hata CHADEMA wakikosa uwakilishi EALA hawatapoteza kitu chichote zaidi ya kuwafanya wajipamge zaidi, Zitto Kabwe atambue kuungwa mkono kwao na CCM sio bure, anaweza kufurahia hivi sasa lakini kwa baadae itamgharimu sana kwenye ustawi wake wa kisiasa, Zitto Kabwe atambue kua alishaanza kuonesha nia ya kushirikiana na wenzake ili kumng'oa mkoloni mweusi ambao kitendo hiki kinaweza kumfanya ashtukiwe na wenzake.


ACT bado ni Chama kichanga sana ambacho kimsingi hakiwezi kusimama peke yake kwenye uchaguzi wowote kikafanikiwa, bado ni chama kichamga sana kwenye rasirimali za aina zote kufikia kutwa chama kikuu cha upinzani.Wala wabunge wawili wa uwakilishi EALA kupitia ACT hawawezi kua na impact yeyote kukibeba chama.


Kwa sasa CHADEMA kimekua taasisi kubwa na imara ambayo inazo rasirimali za kutosha za kila aina kupambana na CCM kwa nguvu zote,Mh Zitto Kabwe asitumie uhasimu ulipo kati ya CCM na CHADEMA/CUF-halisi kujinufaisha kiubinafsi badala yake aangalie manufaa ya kisiasa ya baadae kwa chama chake.


Ushirikiano utakaooneshwa na wabunge wa CCM juu ya ACT/CUF-lipumba ndioyo reflection halisi ya uchaguzi mkuu 2020 na hivyo ndivyo Mwenyekiti wa CCM taifa anavyopenda iwe.Wawakilishi wa ACT/CUF-lipumba wanaweza kupita kwa kishindo sio kwa sababu kwa kukubalika kwao bali ni kwa sababu maalum.


Ndio kila chama kina haki ya kua na wagombea EALA Lakini chama kikubwa Cha upinzani kama CHADEMA kukosa uwakilishi itakua ni kituko cha mwaka na itakua ni ushabiki usiokua na tija kwa taifa.


CCM ni chama dola na chenye baraza la mawaziri wanaoiwakilisha serikali na pia wana waziri anayeiwakilisha serikali EAC, lakini UKAWA ndio wenye baraza la mawaziri kivuli ambao pia wanaisimamia na kuishsuri serikali ambapo kama wanalo jambo la kusema juu ya EAC kama upinzani wanatakiwa kuwapa wabunge wao kuliwasilisha na kulisema.
 
Mi sina uhakika wa upigaji kura lakini nafahamu kila chama chenye uwakilishi bungeni kinapewa fursa kulingana na % hivyo chadema na CUF lazima watoe mwakilishi kabla ya NCCR na ACT
 
Mbona unajichanganya humo!!
mara cdm hawana chakupoteza
mara nini!!
hivi Cdm pekee wana hati miliki ya uwakilishi upande wa upinzani Tanzania!!

Kila chama kimetoa wawakilishi wake
muache kura zipigwe atakaye shinda na ashinde tu.
Rasilimali zipi walizonazo chadema!!
namichango yoote Ruzuku mna nini!!
ACT si Chama cha wahuni
 
Endapo CCM wakawapigia kura wagombea wa ACT yaani Ktila Mkumbo na Albert Msando, pia Wakampigia mgombea kupitia CUF/LIPUMBA kuwapata wabunge EALA wapinzani kwa ujumla wanatakiwa kuwachukulia hawa kama maadui wakubwa wa mabadiliko nchini.

Sio tatizo wagombea wa ACT/CUF-Lipumba kuchaguliwa kuwakilisha EALA kupitia upinzani,wote ni wanasiasa wazuri wasiokua na shaka kwenye siasa zao lakini itakua ni jambo ambalo sio la kawaida Chama kikuu cha upinzani Kama CHADEMA kukosa uwakilishi kabisa ikizingatia kua kua uwakilishi wao bungeni ni wabunge zaidi ya 18%,kama ni hivyo basi kila chama cha cha upinzani kingetoa angalau mbunge mmoja.


Busara iliyokua imetumiwa na spika wa bunge kwa kuangalia uwiano wa uwakilishi kwenye bunge la muungano ni kubwa mno na ilikua ni ya kiuungwana. Zitto Kabwe alilipinga jambo hili makusudi kabisa huku akijua fika kua CCM hawako tayari kumpigia kura mbunge wa CHADEMA ikiwa tu kwenye uchaguzi wa TLS ambao haukua wa kisiasa walionesha misimamo yao wazi,anaona ni bora hata ACT yake isiyokua na mwakilishi kwa bunge la muungano au kumpigia kura Mnyaa mfuasi wa LIPUMBA ambaye ni kirusi cha mgogoro ndani ya Chama hicho na kuendelea kuinufaisha CCM.

Zitto Kabwe atambue kwamba hata CHADEMA wakikosa uwakilishi EALA hawatapoteza kitu chichote zaidi ya kuwafanya wajipamge zaidi, Zitto Kabwe atambue kuungwa mkono kwao na CCM sio bure, anaweza kufurahia hivi sasa lakini kwa baadae itamgharimu sana kwenye ustawi wake wa kisiasa, Zitto Kabwe atambue kua alishaanza kuonesha nia ya kushirikiana na wenzake ili kumng'oa mkoloni mweusi ambao kitendo hiki kinaweza kumfanya ashtukiwe na wenzake.


ACT bado ni Chama kichanga sana ambacho kimsingi hakiwezi kusimama peke yake kwenye uchaguzi wowote kikafanikiwa, bado ni chama kichamga sana kwenye rasirimali za aina zote kufikia kutwa chama kikuu cha upinzani.Wala wabunge wawili wa uwakilishi EALA kupitia ACT hawawezi kua na impact yeyote kukibeba chama.


Kwa sasa CHADEMA kimekua taasisi kubwa na imara ambayo inazo rasirimali za kutosha za kila aina kupambana na CCM kwa nguvu zote,Mh Zitto Kabwe asitumie uhasimu ulipo kati ya CCM na CHADEMA/CUF-halisi kujinufaisha kiubinafsi badala yake aangalie manufaa ya kisiasa ya baadae kwa chama chake.


Ushirikiano utakaooneshwa na wabunge wa CCM juu ya ACT/CUF-lipumba ndioyo reflection halisi ya uchaguzi mkuu 2020 na hivyo ndivyo Mwenyekiti wa CCM taifa anavyopenda iwe.Wawakilishi wa ACT/CUF-lipumba wanaweza kupita kwa kishindo sio kwa sababu kwa kukubalika kwao bali ni kwa sababu maalum.


Ndio kila chama kina haki ya kua na wagombea EALA Lakini chama kikubwa Cha upinzani kama CHADEMA kukosa uwakilishi itakua ni kituko cha mwaka na itakua ni ushabiki usiokua na tija kwa taifa.


CCM ni chama dola na chenye baraza la mawaziri wanaoiwakilisha serikali na pia wana waziri anayeiwakilisha serikali EAC, lakini UKAWA ndio wenye baraza la mawaziri kivuli ambao pia wanaisimamia na kuishsuri serikali ambapo kama wanalo jambo la kusema juu ya EAC kama upinzani wanatakiwa kuwapa wabunge wao kuliwasilisha na kulisema.

Yan unachekesha sana kumbe unatamani kura za ccm polen bila shaka uadui mlioanzisha dhidi ya ccm ndo majuto muda huu kiufupi atuwez mchagua mtu aliewahi kuwa mbunge maana awakizaliwa na ubunge
 
Mbona unajichanganya humo!!
mara cdm hawana chakupoteza
mara nini!!
hivi Cdm pekee wana hati miliki ya uwakilishi upande wa upinzani Tanzania!!

Kila chama kimetoa wawakilishi wake
muache kura zipigwe atakaye shinda na ashinde tu.
Rasilimali zipi walizonazo chadema!!
namichango yoote Ruzuku mna nini!!
ACT si Chama cha wahuni

Umenena komredi
 
Politics is game of maneuver and chances, hakunaga adui wa kudumu!
Kama CDM mlivyo na ndoto ya kuendelea kuwa chama kikuu cha ulinzanj, ACT na vyama vingine wanahitaji kupata nafasi hiyo ikiwezekana kushika dola!! Hivyo kama chama cha siasa lazima wafanye political maneuver na watumie kila fursa inayopatikana!
Kama Zitto na chama chake wanaiona fursa inayotokana na CCM kuichukia CDM hawana budi kuitumia bila kujali CDM watajisikiaje, vinginevyo kama angekuwa na mawazo kama yako wasingekuwa na haja ya kuanzisha chama, wangeacha CDM au CCM ibaki pekee yao!
2015 CDM walimchukua adui wao namba moja kuwa mpeperusha bendera wao, simply bcoz waliiona ni fursa kwa wao kushika Dora, hawakuangalia maamuzi Yale yangeathiri vp vyama vingine!
Ndo maana ruzuku mnavuta pekee yenu, kwani mnawagawia CUF au NCCR walioamua kujisucrifise kwa ajili yenu!
Hiyo ndo siasa, kutumia kila fursa inayopatikana kujiimarisha bila kujali inamuathiri vp mwingine!!
 
Endapo CCM wakawapigia kura wagombea wa ACT yaani Ktila Mkumbo na Albert Msando, pia Wakampigia mgombea kupitia CUF/LIPUMBA kuwapata wabunge EALA wapinzani kwa ujumla wanatakiwa kuwachukulia hawa kama maadui wakubwa wa mabadiliko nchini.

Sio tatizo wagombea wa ACT/CUF-Lipumba kuchaguliwa kuwakilisha EALA kupitia upinzani,wote ni wanasiasa wazuri wasiokua na shaka kwenye siasa zao lakini itakua ni jambo ambalo sio la kawaida Chama kikuu cha upinzani Kama CHADEMA kukosa uwakilishi kabisa ikizingatia kua kua uwakilishi wao bungeni ni wabunge zaidi ya 18%,kama ni hivyo basi kila chama cha cha upinzani kingetoa angalau mbunge mmoja.


Busara iliyokua imetumiwa na spika wa bunge kwa kuangalia uwiano wa uwakilishi kwenye bunge la muungano ni kubwa mno na ilikua ni ya kiuungwana. Zitto Kabwe alilipinga jambo hili makusudi kabisa huku akijua fika kua CCM hawako tayari kumpigia kura mbunge wa CHADEMA ikiwa tu kwenye uchaguzi wa TLS ambao haukua wa kisiasa walionesha misimamo yao wazi,anaona ni bora hata ACT yake isiyokua na mwakilishi kwa bunge la muungano au kumpigia kura Mnyaa mfuasi wa LIPUMBA ambaye ni kirusi cha mgogoro ndani ya Chama hicho na kuendelea kuinufaisha CCM.

Zitto Kabwe atambue kwamba hata CHADEMA wakikosa uwakilishi EALA hawatapoteza kitu chichote zaidi ya kuwafanya wajipamge zaidi, Zitto Kabwe atambue kuungwa mkono kwao na CCM sio bure, anaweza kufurahia hivi sasa lakini kwa baadae itamgharimu sana kwenye ustawi wake wa kisiasa, Zitto Kabwe atambue kua alishaanza kuonesha nia ya kushirikiana na wenzake ili kumng'oa mkoloni mweusi ambao kitendo hiki kinaweza kumfanya ashtukiwe na wenzake.


ACT bado ni Chama kichanga sana ambacho kimsingi hakiwezi kusimama peke yake kwenye uchaguzi wowote kikafanikiwa, bado ni chama kichamga sana kwenye rasirimali za aina zote kufikia kutwa chama kikuu cha upinzani.Wala wabunge wawili wa uwakilishi EALA kupitia ACT hawawezi kua na impact yeyote kukibeba chama.


Kwa sasa CHADEMA kimekua taasisi kubwa na imara ambayo inazo rasirimali za kutosha za kila aina kupambana na CCM kwa nguvu zote,Mh Zitto Kabwe asitumie uhasimu ulipo kati ya CCM na CHADEMA/CUF-halisi kujinufaisha kiubinafsi badala yake aangalie manufaa ya kisiasa ya baadae kwa chama chake.


Ushirikiano utakaooneshwa na wabunge wa CCM juu ya ACT/CUF-lipumba ndioyo reflection halisi ya uchaguzi mkuu 2020 na hivyo ndivyo Mwenyekiti wa CCM taifa anavyopenda iwe.Wawakilishi wa ACT/CUF-lipumba wanaweza kupita kwa kishindo sio kwa sababu kwa kukubalika kwao bali ni kwa sababu maalum.


Ndio kila chama kina haki ya kua na wagombea EALA Lakini chama kikubwa Cha upinzani kama CHADEMA kukosa uwakilishi itakua ni kituko cha mwaka na itakua ni ushabiki usiokua na tija kwa taifa.


CCM ni chama dola na chenye baraza la mawaziri wanaoiwakilisha serikali na pia wana waziri anayeiwakilisha serikali EAC, lakini UKAWA ndio wenye baraza la mawaziri kivuli ambao pia wanaisimamia na kuishsuri serikali ambapo kama wanalo jambo la kusema juu ya EAC kama upinzani wanatakiwa kuwapa wabunge wao kuliwasilisha na kulisema.
ANDIKA HATA PAGE BILLION MOJA; WABUNGE WA UPINZANI WATAKAOCHAGULIWA KWENDA EALA WATATOKA ACT NA CUF YA LIPUMBA: HILO NI HAKIKA. Numbers shall speak accordingy (UWINGI WA CCM BUNGENI)
 
Tundu Lisu alishawahi kusema CHADEMA watamtumia hata shetani mradi washinde uchaguzi....sasa unashangaa nini ACT kuwatumia CCM? CHADEMA achene ubaguzi nyiee vyeo vyote mnavitaka nyie tu mmewadhulumu sana CUF na NCCR kwenye UKAWA wacha Zito awanyooshe
 
Politics is game of maneuver and chances, hakunaga adui wa kudumu!
Kama CDM mlivyo na ndoto ya kuendelea kuwa chama kikuu cha ulinzanj, ACT na vyama vingine wanahitaji kupata nafasi hiyo ikiwezekana kushika dola!! Hivyo kama chama cha siasa lazima wafanye political maneuver na watumie kila fursa inayopatikana!
Kama Zitto na chama chake wanaiona fursa inayotokana na CCM kuichukia CDM hawana budi kuitumia bila kujali CDM watajisikiaje, vinginevyo kama angekuwa na mawazo kama yako wasingekuwa na haja ya kuanzisha chama, wangeacha CDM au CCM ibaki pekee yao!
2015 CDM walimchukua adui wao namba moja kuwa mpeperusha bendera wao, simply bcoz waliiona ni fursa kwa wao kushika Dora, hawakuangalia maamuzi Yale yangeathiri vp vyama vingine!
Ndo maana ruzuku mnavuta pekee yenu, kwani mnawagawia CUF au NCCR walioamua kujisucrifise kwa ajili yenu!
Hiyo ndo siasa, kutumia kila fursa inayopatikana kujiimarisha bila kujali inamuathiri vp mwingine!!
Tatizo CHADEMA wanaona wao tu ndio wanahaki Zaidi na upinzani kupita vyama vingine
 
Hapa sio utashi wa CCM au CHADEMA au ACT au CUF au NCCR bali ni matakwa ya sheria. Sheria inatambua kila chama separately na wala sio chama tawala upande mmoja na upinzani kwa pamoja upande mwingine. Mara ya mwisho uchaguzi wa namna hii ulopofanyika sheria ilipindwa sasa hivi spika kajirekebisha. Sasa huyu ZZK anata makosa ya wakati uleeee yarudiwe. He is fighting a losing battle
 
Endapo CCM wakawapigia kura wagombea wa ACT yaani Ktila Mkumbo na Albert Msando, pia Wakampigia mgombea kupitia CUF/LIPUMBA kuwapata wabunge EALA wapinzani kwa ujumla wanatakiwa kuwachukulia hawa kama maadui wakubwa wa mabadiliko nchini.

Sio tatizo wagombea wa ACT/CUF-Lipumba kuchaguliwa kuwakilisha EALA kupitia upinzani,wote ni wanasiasa wazuri wasiokua na shaka kwenye siasa zao lakini itakua ni jambo ambalo sio la kawaida Chama kikuu cha upinzani Kama CHADEMA kukosa uwakilishi kabisa ikizingatia kua kua uwakilishi wao bungeni ni wabunge zaidi ya 18%,kama ni hivyo basi kila chama cha cha upinzani kingetoa angalau mbunge mmoja.


Busara iliyokua imetumiwa na spika wa bunge kwa kuangalia uwiano wa uwakilishi kwenye bunge la muungano ni kubwa mno na ilikua ni ya kiuungwana. Zitto Kabwe alilipinga jambo hili makusudi kabisa huku akijua fika kua CCM hawako tayari kumpigia kura mbunge wa CHADEMA ikiwa tu kwenye uchaguzi wa TLS ambao haukua wa kisiasa walionesha misimamo yao wazi,anaona ni bora hata ACT yake isiyokua na mwakilishi kwa bunge la muungano au kumpigia kura Mnyaa mfuasi wa LIPUMBA ambaye ni kirusi cha mgogoro ndani ya Chama hicho na kuendelea kuinufaisha CCM.

Zitto Kabwe atambue kwamba hata CHADEMA wakikosa uwakilishi EALA hawatapoteza kitu chichote zaidi ya kuwafanya wajipamge zaidi, Zitto Kabwe atambue kuungwa mkono kwao na CCM sio bure, anaweza kufurahia hivi sasa lakini kwa baadae itamgharimu sana kwenye ustawi wake wa kisiasa, Zitto Kabwe atambue kua alishaanza kuonesha nia ya kushirikiana na wenzake ili kumng'oa mkoloni mweusi ambao kitendo hiki kinaweza kumfanya ashtukiwe na wenzake.


ACT bado ni Chama kichanga sana ambacho kimsingi hakiwezi kusimama peke yake kwenye uchaguzi wowote kikafanikiwa, bado ni chama kichamga sana kwenye rasirimali za aina zote kufikia kutwa chama kikuu cha upinzani.Wala wabunge wawili wa uwakilishi EALA kupitia ACT hawawezi kua na impact yeyote kukibeba chama.


Kwa sasa CHADEMA kimekua taasisi kubwa na imara ambayo inazo rasirimali za kutosha za kila aina kupambana na CCM kwa nguvu zote,Mh Zitto Kabwe asitumie uhasimu ulipo kati ya CCM na CHADEMA/CUF-halisi kujinufaisha kiubinafsi badala yake aangalie manufaa ya kisiasa ya baadae kwa chama chake.


Ushirikiano utakaooneshwa na wabunge wa CCM juu ya ACT/CUF-lipumba ndioyo reflection halisi ya uchaguzi mkuu 2020 na hivyo ndivyo Mwenyekiti wa CCM taifa anavyopenda iwe.Wawakilishi wa ACT/CUF-lipumba wanaweza kupita kwa kishindo sio kwa sababu kwa kukubalika kwao bali ni kwa sababu maalum.


Ndio kila chama kina haki ya kua na wagombea EALA Lakini chama kikubwa Cha upinzani kama CHADEMA kukosa uwakilishi itakua ni kituko cha mwaka na itakua ni ushabiki usiokua na tija kwa taifa.


CCM ni chama dola na chenye baraza la mawaziri wanaoiwakilisha serikali na pia wana waziri anayeiwakilisha serikali EAC, lakini UKAWA ndio wenye baraza la mawaziri kivuli ambao pia wanaisimamia na kuishsuri serikali ambapo kama wanalo jambo la kusema juu ya EAC kama upinzani wanatakiwa kuwapa wabunge wao kuliwasilisha na kulisema.
Usijari hiyo nafasi sdhani kama tutaikosa itatuathiri sana ki mipango. Sana sana itatusaidia kujua wenzetu ni nani. Nakumbuka mwaka fulani Marando alingia kwa kishindo kwa kupigiwa kura na CCM hawa hawa sioni kama iliwasaidia na Marando yupo ndani ya CHADEMA.
 
Yan unachekesha sana kumbe unatamani kura za ccm polen bila shaka uadui mlioanzisha dhidi ya ccm ndo majuto muda huu kiufupi atuwez mchagua mtu aliewahi kuwa mbunge maana awakizaliwa na ubunge
Tatizo chadema wana vichwa vigumu nchi zote zenye vyama vingi hata jirani zetu kenya uchaguzi ukiisha huungana na chama kilichoshinda kuifanya nchi itawallike na maendeleo yawafikie watu wote hata maeneo ya upinzani bila kikwazo kwani wanakuwa wanatekeleza na kuikubali ilani ya chama kilichoshinda. Hivyo hawawi na uadui na chama tawala hivyo mtu wa upinzani akigombea EALA aweza pita kirahisi tu kwani kila mgombea hupimwa kwa uwezo tu. Lakini Tanzania Chadema hawakubali uchaguzi ukiisha wao wamo tu ukisema tuchangie maabara shule za serikali hawataki sasa hapo wakigombea mimi kama CCM chama dola unategemea nimpe Masha kura Yangu? Najikomba nini kwake? Kiingereza chake au?
 
Endapo CCM wakawapigia kura wagombea wa ACT yaani Ktila Mkumbo na Albert Msando, pia Wakampigia mgombea kupitia CUF/LIPUMBA kuwapata wabunge EALA wapinzani kwa ujumla wanatakiwa kuwachukulia hawa kama maadui wakubwa wa mabadiliko nchini.

Sio tatizo wagombea wa ACT/CUF-Lipumba kuchaguliwa kuwakilisha EALA kupitia upinzani,wote ni wanasiasa wazuri wasiokua na shaka kwenye siasa zao lakini itakua ni jambo ambalo sio la kawaida Chama kikuu cha upinzani Kama CHADEMA kukosa uwakilishi kabisa ikizingatia kua kua uwakilishi wao bungeni ni wabunge zaidi ya 18%,kama ni hivyo basi kila chama cha cha upinzani kingetoa angalau mbunge mmoja.


Busara iliyokua imetumiwa na spika wa bunge kwa kuangalia uwiano wa uwakilishi kwenye bunge la muungano ni kubwa mno na ilikua ni ya kiuungwana. Zitto Kabwe alilipinga jambo hili makusudi kabisa huku akijua fika kua CCM hawako tayari kumpigia kura mbunge wa CHADEMA ikiwa tu kwenye uchaguzi wa TLS ambao haukua wa kisiasa walionesha misimamo yao wazi,anaona ni bora hata ACT yake isiyokua na mwakilishi kwa bunge la muungano au kumpigia kura Mnyaa mfuasi wa LIPUMBA ambaye ni kirusi cha mgogoro ndani ya Chama hicho na kuendelea kuinufaisha CCM.

Zitto Kabwe atambue kwamba hata CHADEMA wakikosa uwakilishi EALA hawatapoteza kitu chichote zaidi ya kuwafanya wajipamge zaidi, Zitto Kabwe atambue kuungwa mkono kwao na CCM sio bure, anaweza kufurahia hivi sasa lakini kwa baadae itamgharimu sana kwenye ustawi wake wa kisiasa, Zitto Kabwe atambue kua alishaanza kuonesha nia ya kushirikiana na wenzake ili kumng'oa mkoloni mweusi ambao kitendo hiki kinaweza kumfanya ashtukiwe na wenzake.


ACT bado ni Chama kichanga sana ambacho kimsingi hakiwezi kusimama peke yake kwenye uchaguzi wowote kikafanikiwa, bado ni chama kichamga sana kwenye rasirimali za aina zote kufikia kutwa chama kikuu cha upinzani.Wala wabunge wawili wa uwakilishi EALA kupitia ACT hawawezi kua na impact yeyote kukibeba chama.


Kwa sasa CHADEMA kimekua taasisi kubwa na imara ambayo inazo rasirimali za kutosha za kila aina kupambana na CCM kwa nguvu zote,Mh Zitto Kabwe asitumie uhasimu ulipo kati ya CCM na CHADEMA/CUF-halisi kujinufaisha kiubinafsi badala yake aangalie manufaa ya kisiasa ya baadae kwa chama chake.


Ushirikiano utakaooneshwa na wabunge wa CCM juu ya ACT/CUF-lipumba ndioyo reflection halisi ya uchaguzi mkuu 2020 na hivyo ndivyo Mwenyekiti wa CCM taifa anavyopenda iwe.Wawakilishi wa ACT/CUF-lipumba wanaweza kupita kwa kishindo sio kwa sababu kwa kukubalika kwao bali ni kwa sababu maalum.


Ndio kila chama kina haki ya kua na wagombea EALA Lakini chama kikubwa Cha upinzani kama CHADEMA kukosa uwakilishi itakua ni kituko cha mwaka na itakua ni ushabiki usiokua na tija kwa taifa.


CCM ni chama dola na chenye baraza la mawaziri wanaoiwakilisha serikali na pia wana waziri anayeiwakilisha serikali EAC, lakini UKAWA ndio wenye baraza la mawaziri kivuli ambao pia wanaisimamia na kuishsuri serikali ambapo kama wanalo jambo la kusema juu ya EAC kama upinzani wanatakiwa kuwapa wabunge wao kuliwasilisha na kulisema.
Hata hivyo wagombea wa ACT wanafaa sana hasa Dr Kitila Mkumbo.
 
Politics is game of maneuver and chances, hakunaga adui wa kudumu!
Kama CDM mlivyo na ndoto ya kuendelea kuwa chama kikuu cha ulinzanj, ACT na vyama vingine wanahitaji kupata nafasi hiyo ikiwezekana kushika dola!! Hivyo kama chama cha siasa lazima wafanye political maneuver na watumie kila fursa inayopatikana!
Kama Zitto na chama chake wanaiona fursa inayotokana na CCM kuichukia CDM hawana budi kuitumia bila kujali CDM watajisikiaje, vinginevyo kama angekuwa na mawazo kama yako wasingekuwa na haja ya kuanzisha chama, wangeacha CDM au CCM ibaki pekee yao!
2015 CDM walimchukua adui wao namba moja kuwa mpeperusha bendera wao, simply bcoz waliiona ni fursa kwa wao kushika Dora, hawakuangalia maamuzi Yale yangeathiri vp vyama vingine!
Ndo maana ruzuku mnavuta pekee yenu, kwani mnawagawia CUF au NCCR walioamua kujisucrifise kwa ajili yenu!
Hiyo ndo siasa, kutumia kila fursa inayopatikana kujiimarisha bila kujali inamuathiri vp mwingine!!
Amuulize
Marando ilikuwaje?
 
Endapo CCM wakawapigia kura wagombea wa ACT yaani Ktila Mkumbo na Albert Msando, pia Wakampigia mgombea kupitia CUF/LIPUMBA kuwapata wabunge EALA wapinzani kwa ujumla wanatakiwa kuwachukulia hawa kama maadui wakubwa wa mabadiliko nchini.

Sio tatizo wagombea wa ACT/CUF-Lipumba kuchaguliwa kuwakilisha EALA kupitia upinzani,wote ni wanasiasa wazuri wasiokua na shaka kwenye siasa zao lakini itakua ni jambo ambalo sio la kawaida Chama kikuu cha upinzani Kama CHADEMA kukosa uwakilishi kabisa ikizingatia kua kua uwakilishi wao bungeni ni wabunge zaidi ya 18%,kama ni hivyo basi kila chama cha cha upinzani kingetoa angalau mbunge mmoja.


Busara iliyokua imetumiwa na spika wa bunge kwa kuangalia uwiano wa uwakilishi kwenye bunge la muungano ni kubwa mno na ilikua ni ya kiuungwana. Zitto Kabwe alilipinga jambo hili makusudi kabisa huku akijua fika kua CCM hawako tayari kumpigia kura mbunge wa CHADEMA ikiwa tu kwenye uchaguzi wa TLS ambao haukua wa kisiasa walionesha misimamo yao wazi,anaona ni bora hata ACT yake isiyokua na mwakilishi kwa bunge la muungano au kumpigia kura Mnyaa mfuasi wa LIPUMBA ambaye ni kirusi cha mgogoro ndani ya Chama hicho na kuendelea kuinufaisha CCM.

Zitto Kabwe atambue kwamba hata CHADEMA wakikosa uwakilishi EALA hawatapoteza kitu chichote zaidi ya kuwafanya wajipamge zaidi, Zitto Kabwe atambue kuungwa mkono kwao na CCM sio bure, anaweza kufurahia hivi sasa lakini kwa baadae itamgharimu sana kwenye ustawi wake wa kisiasa, Zitto Kabwe atambue kua alishaanza kuonesha nia ya kushirikiana na wenzake ili kumng'oa mkoloni mweusi ambao kitendo hiki kinaweza kumfanya ashtukiwe na wenzake.


ACT bado ni Chama kichanga sana ambacho kimsingi hakiwezi kusimama peke yake kwenye uchaguzi wowote kikafanikiwa, bado ni chama kichamga sana kwenye rasirimali za aina zote kufikia kutwa chama kikuu cha upinzani.Wala wabunge wawili wa uwakilishi EALA kupitia ACT hawawezi kua na impact yeyote kukibeba chama.


Kwa sasa CHADEMA kimekua taasisi kubwa na imara ambayo inazo rasirimali za kutosha za kila aina kupambana na CCM kwa nguvu zote,Mh Zitto Kabwe asitumie uhasimu ulipo kati ya CCM na CHADEMA/CUF-halisi kujinufaisha kiubinafsi badala yake aangalie manufaa ya kisiasa ya baadae kwa chama chake.


Ushirikiano utakaooneshwa na wabunge wa CCM juu ya ACT/CUF-lipumba ndioyo reflection halisi ya uchaguzi mkuu 2020 na hivyo ndivyo Mwenyekiti wa CCM taifa anavyopenda iwe.Wawakilishi wa ACT/CUF-lipumba wanaweza kupita kwa kishindo sio kwa sababu kwa kukubalika kwao bali ni kwa sababu maalum.


Ndio kila chama kina haki ya kua na wagombea EALA Lakini chama kikubwa Cha upinzani kama CHADEMA kukosa uwakilishi itakua ni kituko cha mwaka na itakua ni ushabiki usiokua na tija kwa taifa.


CCM ni chama dola na chenye baraza la mawaziri wanaoiwakilisha serikali na pia wana waziri anayeiwakilisha serikali EAC, lakini UKAWA ndio wenye baraza la mawaziri kivuli ambao pia wanaisimamia na kuishsuri serikali ambapo kama wanalo jambo la kusema juu ya EAC kama upinzani wanatakiwa kuwapa wabunge wao kuliwasilisha na kulisema.
Hapo mkuu utaona true coulors za Zzk.
Tukisema ni pandikizi kwenye opposition mnabisha!!
 
Endapo CCM wakawapigia kura wagombea wa ACT yaani Ktila Mkumbo na Albert Msando, pia Wakampigia mgombea kupitia CUF/LIPUMBA kuwapata wabunge EALA wapinzani kwa ujumla wanatakiwa kuwachukulia hawa kama maadui wakubwa wa mabadiliko nchini.

Sio tatizo wagombea wa ACT/CUF-Lipumba kuchaguliwa kuwakilisha EALA kupitia upinzani,wote ni wanasiasa wazuri wasiokua na shaka kwenye siasa zao lakini itakua ni jambo ambalo sio la kawaida Chama kikuu cha upinzani Kama CHADEMA kukosa uwakilishi kabisa ikizingatia kua kua uwakilishi wao bungeni ni wabunge zaidi ya 18%,kama ni hivyo basi kila chama cha cha upinzani kingetoa angalau mbunge mmoja.


Busara iliyokua imetumiwa na spika wa bunge kwa kuangalia uwiano wa uwakilishi kwenye bunge la muungano ni kubwa mno na ilikua ni ya kiuungwana. Zitto Kabwe alilipinga jambo hili makusudi kabisa huku akijua fika kua CCM hawako tayari kumpigia kura mbunge wa CHADEMA ikiwa tu kwenye uchaguzi wa TLS ambao haukua wa kisiasa walionesha misimamo yao wazi,anaona ni bora hata ACT yake isiyokua na mwakilishi kwa bunge la muungano au kumpigia kura Mnyaa mfuasi wa LIPUMBA ambaye ni kirusi cha mgogoro ndani ya Chama hicho na kuendelea kuinufaisha CCM.

Zitto Kabwe atambue kwamba hata CHADEMA wakikosa uwakilishi EALA hawatapoteza kitu chichote zaidi ya kuwafanya wajipamge zaidi, Zitto Kabwe atambue kuungwa mkono kwao na CCM sio bure, anaweza kufurahia hivi sasa lakini kwa baadae itamgharimu sana kwenye ustawi wake wa kisiasa, Zitto Kabwe atambue kua alishaanza kuonesha nia ya kushirikiana na wenzake ili kumng'oa mkoloni mweusi ambao kitendo hiki kinaweza kumfanya ashtukiwe na wenzake.


ACT bado ni Chama kichanga sana ambacho kimsingi hakiwezi kusimama peke yake kwenye uchaguzi wowote kikafanikiwa, bado ni chama kichamga sana kwenye rasirimali za aina zote kufikia kutwa chama kikuu cha upinzani.Wala wabunge wawili wa uwakilishi EALA kupitia ACT hawawezi kua na impact yeyote kukibeba chama.


Kwa sasa CHADEMA kimekua taasisi kubwa na imara ambayo inazo rasirimali za kutosha za kila aina kupambana na CCM kwa nguvu zote,Mh Zitto Kabwe asitumie uhasimu ulipo kati ya CCM na CHADEMA/CUF-halisi kujinufaisha kiubinafsi badala yake aangalie manufaa ya kisiasa ya baadae kwa chama chake.


Ushirikiano utakaooneshwa na wabunge wa CCM juu ya ACT/CUF-lipumba ndioyo reflection halisi ya uchaguzi mkuu 2020 na hivyo ndivyo Mwenyekiti wa CCM taifa anavyopenda iwe.Wawakilishi wa ACT/CUF-lipumba wanaweza kupita kwa kishindo sio kwa sababu kwa kukubalika kwao bali ni kwa sababu maalum.


Ndio kila chama kina haki ya kua na wagombea EALA Lakini chama kikubwa Cha upinzani kama CHADEMA kukosa uwakilishi itakua ni kituko cha mwaka na itakua ni ushabiki usiokua na tija kwa taifa.


CCM ni chama dola na chenye baraza la mawaziri wanaoiwakilisha serikali na pia wana waziri anayeiwakilisha serikali EAC, lakini UKAWA ndio wenye baraza la mawaziri kivuli ambao pia wanaisimamia na kuishsuri serikali ambapo kama wanalo jambo la kusema juu ya EAC kama upinzani wanatakiwa kuwapa wabunge wao kuliwasilisha na kulisema.
La kuvunda halina ubani nyie acheni kulialia
 
Mzee umelialia hadi kinyaa.

Hivi mbona CDM huwa haitaki vyama vingine ving'are wakati chenyewe kimekuwa bubu kwenye mambo yenye maslahi kwa taifa kama kukemea ufisadi?

Hata NCCR mlikuwa mnaiandama hivi.

6tag_010417-203914.jpg
 
Back
Top Bottom