Hapa ndo kwenye tatizo,maana hata kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka jana wengi walikamatwa akiwemo mke wa 6 lakini hamna chochote mpaka wa leo.<br />
<br />
Mkuu takukuru si ndio hao hao ccm hakuna lolote likalofanyika na takukuru
Hapa ndo kwenye tatizo,maana hata kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka jana wengi walikamatwa akiwemo mke wa 6 lakini hamna chochote mpaka wa leo.<br />
<br />
Mkuu takukuru si ndio hao hao ccm hakuna lolote likalofanyika na takukuru
Kama hali imefikia hatua ya kununua shahada za kupigia kura huo ni ubakaji wa demokrasia. Kama kuna ushahidi wa jambo hilo basi wapinzani waende mahakamani ili uchaguzi usimamishwe na hati za kupigia kura zihakikiwe kwa kila mwana Igungamku ccm wana hali mbaya sana kutokana sumu iliyo mwagwa na cdm huko vijijini, ccm wanatoa rushwa kwa nguvu mno, wananunua bendera za cdm zilizotundikwa sehem mbalimbali kwa sh.5000. Hivi sasa wameanza kununua shahada za wapiga kura.