mikedean
JF-Expert Member
- Mar 15, 2018
- 3,255
- 4,599
Nilijuaga unaaoili we jamaa ila kwa oni lako hili umenistu,ina maana Halima Mdee anayeongoza kawe yeye ndo tajiri kuliko wote kawe?ina maana Mavunde ndo tajiri wa Dodoma?Ina maana mbunge lazima awe na pesa kuliko anaowawakilisha?Kabisa, maendeleo arusha yamekua ya ovyo ovyo halafu ukiangalia wanaoshabikia chadema ni wahuni tu na vijana wa mtaani , ila mbunge wao ni tajiri ana pesa ila uliza maisha ya wananchi wake, sijajua hata alichoifanyia arusha
Ina maana wahuni sio binadamu?unajuaje kuwa huyu ni muhuni?Hivi unajua kuwa inawezekana kuna mtu anakuchukulia hata wewe kama muhuni fulani choko kabisa?
Tuheshimiane,siasa zisitugawe kiasi hiki aisee.