CCM waandike kupoteza Jimbo la Rorya

Luoman

Member
Jul 2, 2020
20
44
Rorya ni jimbo linalopatikana ndani ya mkoa wa Mara, na wakazi wa hapa ni wajaluo kwa 95% huku wasimbiti na baadhi ya vikabila vidogo vidogo ni 5 tu ya wilaya nzima

Lameck okambo airo(LAKAIRO) ndiye alikuwa mbunge kwenye awamu mbili lakini kwa mwaka huu aliamua kujiondoa kutokana na upepo wa mabadiliko unaovuma kwa sasa,hasa baada ya Ezekiah Dibogo wenje kutangaza nia ya kugombea jimbo la Rorya. Watu wengi walivutiwa sana na ujio wake ata wana ccm walimuona kama mtu anaefaa.

Kwenye kura za maoni za Jana CCM wakamteua kijana kutoka kabila la wasimbiti makusudi kabisa ili kumpatia kura ndugu wenje ambae ni mjaluo mwenzao kuitawala Rorya

Toka jimbo hili kuanzishwa hakuna mtu wa kabila tofauti ashawahi kuwa mbunge lakini Jana CCM wamefanya maamuzi ya juu kabisa tena bila kujua kabisa wanaua chama kwa kuegemeza nguvu zao ili ndugu wenje ashinde jambo litakaloleta mpasuko mkubwa kwa CCM-Rorya

Kwa hali ilivyo sasa sioni nafasi ya CCM tena wilayani Rorya, sababu wananchi wengi wanavutiwa na wenje

Note: Ezekiah Wenje, alikuwa ni mbunge wa Nyamagana 2010-2015

FB_IMG_15945515124639396.jpg

FB_IMG_15950859063618898.jpg


FB_IMG_15950859205389054.jpg
 
Acha uzushi wewe,mnapiga kura kwa ukabila karne hii? Wewe utakuwa mtia nia uliyeangukia pua umeleta uzi huu ili kumpaka matope mshindi wa kura za maoni.Yaan wenje anamvuto...mvuto gani wa kumzidi huyo aliyeshinda??? Nadhani haumfahamu huyo kijana,kamati kuu ikishampitisha kampeni zikianza tu utakuja hapa kukubaliana na mm kuwa level zake ni zaidi ya huyo wenje
 
Rorya ni jimbo linalopatikana ndani ya mkoa wa Mara, na wakazi wa hapa ni wajaluo kwa 95% huku wasimbiti na baadhi ya vikabila vidogo vidogo ni 5 tu ya wilaya nzima

Lameck okambo airo(LAKAIRO) ndiye alikuwa mbunge kwenye awamu mbili lakini kwa mwaka huu aliamua kujiondoa kutokana na upepo wa mabadiliko unaovuma kwa sasa,hasa baada ya Ezekiah Dibogo wenje kutangaza nia ya kugombea jimbo la Rorya. Watu wengi walivutiwa sana na ujio wake ata wana ccm walimuona kama mtu anaefaa.

Kwenye kura za maoni za Jana CCM wakamteua kijana kutoka kabila la wasimbiti makusudi kabisa ili kumpatia kura ndugu wenje ambae ni mjaluo mwenzao kuitawala Rorya

Toka jimbo hili kuanzishwa hakuna mtu wa kabila tofauti ashawahi kuwa mbunge lakini Jana CCM wamefanya maamuzi ya juu kabisa tena bila kujua kabisa wanaua chama kwa kuegemeza nguvu zao ili ndugu wenje ashinde jambo litakaloleta mpasuko mkubwa kwa CCM-Rorya

Kwa hali ilivyo sasa sioni nafasi ya CCM tena wilayani Rorya, sababu wananchi wengi wanavutiwa na wenje

Note: Ezekiah Wenje, alikuwa ni mbunge wa Nyamagana 2010-2015

View attachment 1513728
View attachment 1513730

View attachment 1513732
Wewe ni muongo Wasimbiti hawawezi kiwa 5% huo ni ukuda wako tu, kama unabisha tuhesabu vijiji vya wajaluo na wasimbiti
 
Rorya ni jimbo linalopatikana ndani ya mkoa wa Mara, na wakazi wa hapa ni wajaluo kwa 95% huku wasimbiti na baadhi ya vikabila vidogo vidogo ni 5 tu ya wilaya nzima

Lameck okambo airo(LAKAIRO) ndiye alikuwa mbunge kwenye awamu mbili lakini kwa mwaka huu aliamua kujiondoa kutokana na upepo wa mabadiliko unaovuma kwa sasa,hasa baada ya Ezekiah Dibogo wenje kutangaza nia ya kugombea jimbo la Rorya. Watu wengi walivutiwa sana na ujio wake ata wana ccm walimuona kama mtu anaefaa.

Kwenye kura za maoni za Jana CCM wakamteua kijana kutoka kabila la wasimbiti makusudi kabisa ili kumpatia kura ndugu wenje ambae ni mjaluo mwenzao kuitawala Rorya

Toka jimbo hili kuanzishwa hakuna mtu wa kabila tofauti ashawahi kuwa mbunge lakini Jana CCM wamefanya maamuzi ya juu kabisa tena bila kujua kabisa wanaua chama kwa kuegemeza nguvu zao ili ndugu wenje ashinde jambo litakaloleta mpasuko mkubwa kwa CCM-Rorya

Kwa hali ilivyo sasa sioni nafasi ya CCM tena wilayani Rorya, sababu wananchi wengi wanavutiwa na wenje

Note: Ezekiah Wenje, alikuwa ni mbunge wa Nyamagana 2010-2015

View attachment 1513728
View attachment 1513730

View attachment 1513732
Mleta hoja mbona unakuja na agenda za ukabila badala ya sera/dira ya mgombea toka CCM bila kujali kabila lake?

Wenje sio msukuma, ila 2010-15 alikuwa mbunge wa Nyamagana huku ikifahamika wapiga kura wengi walikuwa wasukuma hasa toka makazi ya pembezoni wa Nyamagana na Misugwi.

Kwanini kama mgombea wa CCM asichagulike kama atawahakikishia wana Rorya kuwasemea shida zao mjengoni ili miradi ya ifanyike ku-solve changamoto za wana Rorya.
Karne ya 21 ni kitu kibaya sana kuzungumza uluo na usimbiti hadharani.

2008 Barack Obama alichaguliwa na Wamarekani sio kwa rangi ya ngozi au rangi ya chama, bali alionesha vision ya kuwaunganisha wapiga kura kwa kile kinaitwa "the change wa believe in".

Rai yangu kwa mgombea wa CCM, kama utapitishwa na mamlaka ya juu ya uteuzi, kajinadi kwa kuuza vision yako kwa wana Rorya sio ukabila, bila shaka kama umeongoza kura za maoni, huenda ukatusua na kura za jimbo.

Ukabila hauna nafasi Tanzania na tusijivunie kama msingi wa kupata kura kisiasa.
 
Kwenye kura za maoni za Jana CCM wakamteua kijana kutoka kabila la wasimbiti makusudi kabisa ili kumpatia kura ndugu wenje ambae ni mjaluo mwenzao kuitawala Rorya
Wewe utakuwa mjaluo wa Kenya kwani huko ndiko kuna ukabila. Huku Tanzania hatuna ukabila. Wasukuma wa Mwanza walimchagua Wenje kuwa mbunge wao. CCM haina ukabila, hao waliowachagua kwenye kura za maoni hawakuwachagua kwa kuangalia makabila yao.

Halafu wewe unadhani majimbo yote yatachukuliwa na ccm pekee? Yaani vyama vyote vya upinzani visiambulie angalao majimbo machache? Kipi kinakuuma kama jimbo la Rorya likachukuliwa na NCCR au ACT? Haliwezi kuchukuliwa na Wenje kwani mwaka huu chadema haitapata hata jimbo moja. Huu ndiyo ukweli. Awe Wenje au Mbowe hawapati kitu.
 
Ukabila wenu peleka Kenya aisee, kwanza Mods huyu mtu pigeni ban.
Na jeshi la uhamiaji lifuatilie uraia wa huyu jamaa. Hawa la Sheikh Mponda wanatakiwa kupondwa pondwa kwa kuleta udini na ukabila kwenye
 
Back
Top Bottom