CCM tupo katika mwanguko mkubwa

CCM tupo katika mwanguko mkubwa

mleta maada umeleta ukweli ila kunawatu wale wenye akili za kushikiwa hata akimkuta mkewe anajamaa ndani ya chumba tena geust haamini kama mkwewe alikuwa anatembea na jamaa ndio unawaona wanaleta ujinga usio na tija kwa chama hata taifa. Tafakari sana kabla ya kutoa povu for nothing
 
Laiti ningalikua Nape pale kwenye nyumba ya watani zetu wa kijani, hakika ningefanyia kazi maoni ya huyu ndugu yetu 'Burigi' wa hapa JF pamoja maoni mengine yaliowahi kutolewa na rafiki yangu lakini Mwana-CCM Ndg 'Mchambuzi' wote wa hapa hapa jukwani.

Badala yake tulichokishuhudia hasa kwenye uzi huu na nyuzi nyingine kibao za Ndg Mchambuzi ni kushambuliwa ile mbaya na wadogo wa CCM waliomo humu na hata kuwabandika nembo za CHADEMA eti kwa sababu tu ya mawazo yao miba.

CCM chonde political tolerance ni muhimu sana hata kama kupoteza haiba kote huko ni kuchungu kiasi hicho.
 
Wewe si mwanaccm. Dont pretend. Rudisha kadi.

ebo!..kumbe ccm mtu akisema ukweli anatakiwa kurudisha kadi na wanaotukana na kufanya ufisadi wanashangiliwa nakuonekana mashujaa! HILI NI ANGUKO LA CCM
 
Mkuu hapo ndiko UFISADI wa kutisha kote nchini ilikokifikisha kilichokua chama pendwa CCM.

Kwa mitaji ya kauli kaama hizi toka kwa watani wa kijani kwa ndugu zao wanaokikosoa chama chao kwa lengo la kuboresha mambo na pengine kukirejeshea matumaini katika kipindi cha miaka 15 ijayo; bora tuseme tu basi kwamba kalale salama CCM kwenye kurasa za historia.

ebo!..kumbe ccm mtu akisema ukweli anatakiwa kurudisha kadi na wanaotukana na kufanya ufisadi wanashangiliwa nakuonekana mashujaa! HILI NI ANGUKO LA CCM
 
Back
Top Bottom