CCM tuone soni, huku ni kujiharibia

Kuna watu wametuharibia chama, nasikitika sana, ila sikipendi kilivyo kwa sasa,mpaka kioshwe kiwe safi
 
Mnapozidi kuwekeza nguvu zenu kumtukana Lowasa ndipo wananchi wanaongeza nguvu kuichukia CCM.
Na mmesahau kuwa wananchi wa sasa si wale wa enzi za TaNU.
 
Wananchi Ukweli Ccm Hawaitaki Hasa Hii Style Mfano Kukatana Ndiyo Imeuwa Chama Siasa Chafu Halafu Wanatumia Pesa Kuchafua Upinzani Wakati

Vijana Wengi Ni Makachero Siri Zao Zinavuja Daily
 
Pole mzee tupatupa. Chama chako ndo kinatupwa sasa.
Angalia tu usije kuwa nabii wa chama chako kwa hilo jina lako
 
Mzee Tupatupa umeacha pia ile kauli ama agenda kuu ya wagombea wa CCM imempendekeza mwanamke ili akawe mshauri mkuu wa mambo ya wanawake. Swali hapa ndugu zangu mambo mengine ya maendeleo kwa jamii makamu wa rais kumba hatafanya kama ilivyo kwenye katiba?
 
Na je hatuoni kuwa hapa CCM imepotoka jamani kwa makamu wa rais kuwa mshauri wa mambo ya wanawake tuuuu? Mie nilidhani ni msaidizi wa rais
 
poleni wakereketwa wa dhati wa CCM, wachache wanawaalibia
 
Masaburi akili yako iko matakoni. Eti huyo ni Dr? Wa falsafa au wa mifugo? kweli Taifa limepotea. Au ndio wa kienyeji kama Dr. Manyau.
 
Mzee Tupatupa, kilicho mwondoa Lowasa ccm siyo jitihada za chama kajisafisha bali matokeo ya siasa za makundi, pale JK alipo jiunga na kundi moja wapo na kuamua kulibeba. Kusinge kuwa na makundi , kuna uwezekano mkubwa Lowasa angekuwa ni mgombea uraisi kupitia ccm pamoja na kushiriki kwake ktk Richmond.
 
Mzee Tupatupa, inaelekea CCM hakuna waunda mikakati wenye akili kiasi nkwamba mbinu za kitoto kama zomeazomea kwa kulipa vijana, kuhonga waliokosa nafasi za uongozi kama Lipumba na Slaa. Kwa wenye akili leo kutumia ahadi na usanii kama wa akina Slaa siamini kama CCM inaonyesha ukomavu wa kuwa madarakani kwa miongo yote hii
 

Kwa hali ilivyo sasa kwa siasa za kupazana matope zimepita ni kumwaga Sera ili watanzania wapate matumaini lakini hakuna ukawa wanamwaga Sera tu mnampa wakati mgumu MAGUFULI yaani muhuni yeyote akiwa na neno anaongea tu ashakum so matusi je yule kipofu anaeipigia kampeni ccm atanifundisha nini wakati yeye haoni na kuona ni kuamini
 

ni kweli tunaitaka ccm ijikite kuelezea uongo wake wa maisha bora kwa kila mtanzania iliuahidi mwaka 2005 badala ya kuhamisha hoja kutoka ile ya msingi. WAPIGA KURA MBUMBUMBU WAMEPUNGUA SANA KWA KIFAO NA WAMEIBUKA DIGITALI AMBAO HAWANJUI YUSUFU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…