CCM: Tunahitaji wadhamini 450 tu

Acha uduanzi wewe. Hayo ni maoni yako tu

Lizabon
Habari ndiyo hiyo siyo swala la wivu ni utaratibu na vigezo na masharti wanaotakiwa ni 450 tu. na si kwamba wanaozidi wote ndiyo guarantee ya kuwapata wapiga kura la hasha
 
Last edited by a moderator:
Hawa jamaa wananikera sana, kila saa wanasema wamepata wadhamini sijui laki na ishirini n.k wakati fomu tunajua ina sehemu ya wadhamini 450 tu. hii wanatudangaya au wanajifurahisha wenyewe. mimi nashindwa kuelewa nia yao? kama lengo lao ni kutuhadaa ndio hawa hawa watatuhadaa tukiwapa nchi. Tuachane na wasanii, tutafute wachapa kazi kama Jaji Ramadhani, Prof Muhongo, Nyalandu, Dr Mwele, na na wengine wanaosema ukweli. Msisahau ukawa tupo
 

Ni utaratibu wa kawaida kabisa mtu anapoomba kazi anaambiwa atoe majina 'kadhaa' kama reference. Na mara nyingi huwa wanataja idadi ya watu wanaohitajika kwenye hicho kipengele cha refence, mfano watu watu. Hivyo kwa CCM kuweka idadi ya wadhamini kwa kila mgombea ni utaratibu wa kawaida kabisa. Lakini cha kushangaza, watu wameambiwa wadhamini wanaotakiwa ni 450, halafu wanatafuta wadhamini 120,000! Hiyo tu inaonesha ni jinsi gani mtu hafuati maelekezo.
 

Kwa nini 450 na si 451 au 500?
 
Watoa nia wengi wamedhaminiwa na watu zaidi ya mmoja--kujirudia kwani hakuna aliyehakiki...kutenguliwa-disco
 

Hao 450 ni lazima wahakikiwe kama ni wanachama hai kwa hiyo kupeleka zaidi ni usumbufu kwa secretariat. Usishangae kwenye orodha kuanzia 1-450 wengine wakawa na kasoro mgombea akakosa sifa na hakuna kujazia hata kama wako 100,000.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…