CCM Shinyanga yamjibu Diallo

CCM Shinyanga yamjibu Diallo

Nyinyi pigeni kelele tuu...vikao vya maamuzi ndiyo mwisho wa matatizo....CCM iko imara sanaa..
 
Tumaini la Watanzania......Anasubiri tu kuapishwa,wambea waendelee kutunga sana na kufitinisha lkn wajue watanzania wana siri nzito mioyoni mwao,Viva Lowassa Viva ....Rais Mtarajiwa

kama anauwezo wa kuzunguka uwanja mara1 narudi kwetu ukerewe.
 
Rais mtarajiwa
th

Nadhani hii ni picture ya ujana wake. maana nasikia jicho moja limeanza kufunga.
 
Tumaini la Watanzania......Anasubiri tu kuapishwa,wambea waendelee kutunga sana na kufitinisha lkn wajue watanzania wana siri nzito mioyoni mwao,Viva Lowassa Viva ....Rais Mtarajiwa

Hyu ni Mfungwa mtarajiwa.
 
Na bado mwaka huu mpaka wapigane tuu. Nadhani ile ndoto ya Wassira kuwa Chadema itakufa kabla ya 2014 allitafsiri vibaya baada ya kuamka toka usingizini. Hakusoma vizuri maandishi aliyoyaona kwende ndoto yake. Arudi usingizini na amuombe mola wake airudishe hiyo ndoto na asome vizuri maandishi ukutani yanasemaje? Atagundua ilitajwa ccm katika ndoto yake.
ImageUploadedByJamiiForums1411721689.361174.jpg
 
Mwisho wa kuanguka kwa himaya nyingi duniani uwa ni mpasuko!!! Mwisho wa ccm umefika hivyo!!
 
Wakuu ebu njuzeni,hivi EL hayupogo JF walau tumuulize maswali yenye kupelekea maamuzi magumu?
 
Yaani Dialo kujilinganisha na Lowasa ni sawa na Matonya(Dialo) kujilinganisha na Bakhresa(Lowasa) kwa ukwasi wa hela.
 
Dialo atakuwa na matatizo ana kila kitu kwanini alikosa ubunge!!!!
 
Back
Top Bottom