Chadema 2030
JF-Expert Member
- May 5, 2025
- 1,920
- 3,751
Imefanya nchi kuwa maskini toka tupate uhuru kutoka kwa mkoloni.hadi sasa ni umaskin tuh hatuna cha maana ni upuuzi tuh.
Uganda, Kenya ipo mbele yetu maana wanajipanga.ss Tanzania ni upuuz tu umaskin tuh ndio imejaa taifa hili. CCM ni chama ovyo mno watoke madarakani hawana faida na taifa.
Uganda, Kenya ipo mbele yetu maana wanajipanga.ss Tanzania ni upuuz tu umaskin tuh ndio imejaa taifa hili. CCM ni chama ovyo mno watoke madarakani hawana faida na taifa.