CCM Sasa Ni Wakati wa Accomodations & Reconciliations!!

CCM Sasa Ni Wakati wa Accomodations & Reconciliations!!

Joined
Apr 27, 2006
Posts
26,584
Reaction score
10,464
- Well, reading the mood ya Bunge la Katiba toka siku Rais alipohutubia tayari ukweli unajisema wazi kwamba the TRUTH has settled in na the bottomline ni juzi Wabunge 440 walipojitokeza na kuunga mkono kwa nguvu kubwa sana Hotuba ya Rais. The fact kwamba kati ya Wabunge hao 440, 135 ni kutoka kwenye Wajumbe walioteuliwa na Rais ambao sio Wabunge wa Bunge la jamhuri ni ukweli usiopigika kwamba Hoja ya Serikali 2 inazungumzika kuliko hoja ya zingine zote na uchaguzi wa jana kwenye kamati za bunge yanazidi kujisema wazi kwamba CCM yenye namba kubwa ya Wabunge bungeni kwa mujibu wa Sheria, ndio yenye nafasi kubwa ya kuandika Sheria kama Sheria inavyosema yaani 2/3 ya Wabunge wengi.

- HOWEVER:-
It is a high time now CCM, wakakaa chini na kuanza siasa za accomodations na compromise in some areas lakini sio zote, pia huu ni wakati muafaka CCM ikayafanyia kazi mapungufu yote yaliyotajwa kuhusiana na Muungano wa sasa, ni muhimu sana CCM ikawatumia hao hao walalamikaji wakubwa kuhusu kero za Muungano wa sasa juu ya ushauri wa namna ya kuyatatua. Kuna hoja nzito sana zimesemwa na wasiotaka Muungano wa sasa na nyingi sio siri zipo valid, sasa zikumbatiwe na kufanyiwa kazi katika kuweka Tanzania kwanza. CCM iendelee kusimamia hoja zake ambazo ni basic yaani the core of its values ambazo zinafahamika sana ikiwa ni pamoja na Serikali 2.

- CCM ndio chama tawala kwa uamuzi wa wananchi wa Tanzania, na sheria ipo wazi kwamba ndio wenye the uppperhand ya maamuzi magumu na pia kusimamia sera zake, wanaodai otherwise wajifunze maana ya kushinda uchaguzi na kuwa wengi bungeni ni pamoja na kuwa na nafasi kubwa ya kuamua Sheria mpya, sio makosa ya CCM ni sheria tulizojiwekea wenyewe!!

MUNGU AIBARIKI TANZANIA!!


Le Mutuz
 
Well said mkuu. Ila hilo suala la reconciliation and accomodation linafaa kuchukuliwa kwa umakini mkubwa. Mbona Lipumba alikuwa accomodated lakini kwa ujinga wake ameamua kujitoa? Hawa wapinzani hawana nia njema na nchi hii. Hawa wapinzani hawana dhamira wala utashi wa kuwa na Katiba Mpya. CCM go go goooooooo. Wao wakisusa, nyie songeni mbele. Ru,ewapa ridhaa ya kuongoza na kutawala kila mchakato. Wao wakisusa, nyie fanyeni hima kusonga mbele. Wamepigwa wamepigika. Sasa wanatapatapa tu. hawajui pa kutokea
 
Well said mkuu. Ila hilo suala la reconciliation and accomodation linafaa kuchukuliwa kwa umakini mkubwa. Mbona Lipumba alikuwa accomodated lakini kwa ujinga wake ameamua kujitoa? Hawa wapinzani hawana nia njema na nchi hii. Hawa wapinzani hawana dhamira wala utashi wa kuwa na Katiba Mpya. CCM go go goooooooo. Wao wakisusa, nyie songeni mbele. Ru,ewapa ridhaa ya kuongoza na kutawala kila mchakato. Wao wakisusa, nyie fanyeni hima kusonga mbele. Wamepigwa wamepigika. Sasa wanatapatapa tu. hawajui pa kutokea

- At some point CCM tuwe watuwazima na wenye busara, vita imekwisha kilichobaki ni rasha rasha tu, uamuzi ni wetu sio wa wapinzani Sheria ipo wazi na hata hizo compromise uamuzi ni wetu sio kwa kulazimishwa na Wapinzani hapana, hata huko Demokrasia ilipoanzia Chama Tawala ndio wanakuwa the Winner takes all, nimewaona leo bungeni wakijaribu kulazimisha hoja za usawa I mean usawa utattoka wapi na wewe umeshindwa uchaguzi? next time kazana ushinde uchaguzi!1

Le Mutuz
 
- Well, reading the mood ya Bunge la Katiba toka siku Rais alipohutubia tayari ukweli unajisema wazi kwamba the TRUTH has settled in na the bottomline ni juzi Wabunge 440 walipojitokeza na kuunga mkono kwa nguvu kubwa sana Hotuba ya Rais. The fact kwamba kati ya Wabunge hao 440, 135 ni kutoka kwenye Wajumbe walioteuliwa na Rais ambao sio Wabunge wa Bunge la jamhuri ni ukweli usiopigika kwamba Hoja ya Serikali 2 inazungumzika kuliko hoja ya zingine zote na uchaguzi wa jana kwenye kamati za bunge yanazidi kujisema wazi kwamba CCM yenye namba kubwa ya Wabunge bungeni kwa mujibu wa Sheria, ndio yenye nafasi kubwa ya kuandika Sheria kama Sheria inavyosema yaani 2/3 ya Wabunge wengi.

- HOWEVER:-
It is a high time now CCM, wakakaa chini na kuanza siasa za accomodations na compromise in some areas lakini sio zote, pia huu ni wakati muafaka CCM ikayafanyia kazi mapungufu yote yaliyotajwa kuhusiana na Muungano wa sasa, ni muhimu sana CCM ikawatumia hao hao walalamikaji wakubwa kuhusu kero za Muungano wa sasa juu ya ushauri wa namna ya kuyatatua. Kuna hoja nzito sana zimesemwa na wasiotaka Muungano wa sasa na nyingi sio siri zipo valid, sasa zikumbatiwe na kufanyiwa kazi katika kuweka Tanzania kwanza. CCM iendelee kusimamia hoja zake ambazo ni basic yaani the core of its values ambazo zinafahamika sana ikiwa ni pamoja na Serikali 2.

- CCM ndio chama tawala kwa uamuzi wa wananchi wa Tanzania, na sheria ipo wazi kwamba ndio wenye the uppperhand ya maamuzi magumu na pia kusimamia sera zake, wanaodai otherwise wajifunze maana ya kushinda uchaguzi na kuwa wengi bungeni ni pamoja na kuwa na nafasi kubwa ya kuamua Sheria mpya, sio makosa ya CCM ni sheria tulizojiwekea wenyewe!!

MUNGU AIBARIKI TANZANIA!!


Le Mutuz


Mkuu bado hajawa wazi na hoja yako. Funguka zaidi
 
Mkuu bado hajawa wazi na hoja yako. Funguka zaidi

- Hoja yangu ipo very clear kwamba vita vya Serikali 2 na 3 vimekwisha, sasa ni wakati wa CCM kukaa chini na kutafakari hoja za upande wa pili yaani za Serikali 3, nia na madhumuni yao ni nini hasa na ni kwa sababu gani wamefikia hayo maamuzi kwa sababu siri wanaolilia Serikali 3 wana kero zao nzito sana kumbuka at the heart ya kilio chao ni kuvunja Muungano, sasa unapoona Waziri Mkuu Mstaafu na Makamu wa Kwanza wa Rais wa CCM anasimama jukwaani na kuanza kulilia kuvunja Muungano, tenba sio kwa siri bali wazi wazi na hata mbele ya bunge la jamhuri lazima kuna tatizo mahali sasa ni wakati wa CCM kukaa chini na kusikiliza baadhi ya hoja zake maana na yeye kuna anao wawakilisha na hizo hoja zake za kutaka kuvunja Muungano.

- CCM ni chama kikubwa sana na kimepitia mengi sana kufikia kilipo, sasa ni wakati wa kumuomba huyo huyo Waziri Mkuu Mstaafu wa CCM Warioba kuongoza kamati ya utafiti wa mapungufu ya Muungano na kuyafanyia kazi mara moja. Lakini CCM kwanza ikubali kwamba yapo mapungufu na iyaseme wazi kwa public and then ndio waanze kuyafanyia kazi.

Le Mutuz
 
Ukikuta wajinga wanagombania mzigo wa mavi basi bora uendelee na safari yako la sivyo na wewe watakupaka kinyesi
 
- well una mawazo mazuri, infact hii katiba ipo mikonon mwa ccm. Naamini ipo kwenye mikono salama.

Out of topic: kuna kipindi nlikuwa nakuchukuli serious kuwa wewe ni celeb lakin ulitukuta Dom na unang'ang'aniza to take som snap while tulikuwa na serious talk na wadau, nakwambia u pisses em off. Kama sio Zitto kuchange th subject ungekula cold shoulder! Jifunze kusoma moods za watu mkuu..you are too way fast, nasty kind of which makes you look immature while ur age is fifty whatever!!
 
Mkuu Ccm wasipokuwa makini katika inaweza isipatikane kwa ubabe wao then ndo ikawa chanzo cha kuanguka kwa ccm.maoni ya wananchi yazingatiwe sisi tunataka Serikali Tatu ndo maoni yaliyotolewa na hivyo ni bora maoni yetu yaheshimiwe.
 
- Well, reading the mood ya Bunge la Katiba toka siku Rais alipohutubia tayari ukweli unajisema wazi kwamba the TRUTH has settled in na the bottomline ni juzi Wabunge 440 walipojitokeza na kuunga mkono kwa nguvu kubwa sana Hotuba ya Rais. The fact kwamba kati ya Wabunge hao 440, 135 ni kutoka kwenye Wajumbe walioteuliwa na Rais ambao sio Wabunge wa Bunge la jamhuri ni ukweli usiopigika kwamba Hoja ya Serikali 2 inazungumzika kuliko hoja ya zingine zote na uchaguzi wa jana kwenye kamati za bunge yanazidi kujisema wazi kwamba CCM yenye namba kubwa ya Wabunge bungeni kwa mujibu wa Sheria, ndio yenye nafasi kubwa ya kuandika Sheria kama Sheria inavyosema yaani 2/3 ya Wabunge wengi.

- HOWEVER:-
It is a high time now CCM, wakakaa chini na kuanza siasa za accomodations na compromise in some areas lakini sio zote, pia huu ni wakati muafaka CCM ikayafanyia kazi mapungufu yote yaliyotajwa kuhusiana na Muungano wa sasa, ni muhimu sana CCM ikawatumia hao hao walalamikaji wakubwa kuhusu kero za Muungano wa sasa juu ya ushauri wa namna ya kuyatatua. Kuna hoja nzito sana zimesemwa na wasiotaka Muungano wa sasa na nyingi sio siri zipo valid, sasa zikumbatiwe na kufanyiwa kazi katika kuweka Tanzania kwanza. CCM iendelee kusimamia hoja zake ambazo ni basic yaani the core of its values ambazo zinafahamika sana ikiwa ni pamoja na Serikali 2.

- CCM ndio chama tawala kwa uamuzi wa wananchi wa Tanzania, na sheria ipo wazi kwamba ndio wenye the uppperhand ya maamuzi magumu na pia kusimamia sera zake, wanaodai otherwise wajifunze maana ya kushinda uchaguzi na kuwa wengi bungeni ni pamoja na kuwa na nafasi kubwa ya kuamua Sheria mpya, sio makosa ya CCM ni sheria tulizojiwekea wenyewe!!

MUNGU AIBARIKI TANZANIA!!


Le Mutuz

hapo nakubaliana na wewe 100% ingawa naweza nisiwe mwana ccm. kama tunaendelea na muungano huu wa nchi moja. mwananchi asibaguliwe akiwa bara wala akiwa zanzibar,kote atakakokuwapo awe na haki zote sawa na raia wa eneo alipo maana ni ndani ya jamuhuri moja. Kuendelea kuwatesa watanganyka huko znz angali wengi hupelekwa na asasi mbali mbali bara kwenda kufanya kazi huko ni ushetani wa wazi wazi. na nasikitika kikwete katika hotuba yake hakuongelea hii. Asilimia kubwa ya watu wanaopenda hotuba ya warioba sio kwamba tu alipendekeza serikali tatu bali alisema uraia utakuwa mmoja na raia hatawekewa vikwazo kulingana na atokapo.
 
Ccm dhambi haitawaacha ni muda tu mtakimbilia vichakan
 
- Well, reading the mood ya Bunge la Katiba toka siku Rais alipohutubia tayari ukweli unajisema wazi kwamba the TRUTH has settled in na the bottomline ni juzi Wabunge 440 walipojitokeza na kuunga mkono kwa nguvu kubwa sana Hotuba ya Rais. The fact kwamba kati ya Wabunge hao 440, 135 ni kutoka kwenye Wajumbe walioteuliwa na Rais ambao sio Wabunge wa Bunge la jamhuri ni ukweli usiopigika kwamba Hoja ya Serikali 2 inazungumzika kuliko hoja ya zingine zote na uchaguzi wa jana kwenye kamati za bunge yanazidi kujisema wazi kwamba CCM yenye namba kubwa ya Wabunge bungeni kwa mujibu wa Sheria, ndio yenye nafasi kubwa ya kuandika Sheria kama Sheria inavyosema yaani 2/3 ya Wabunge wengi.

- HOWEVER:-
It is a high time now CCM, wakakaa chini na kuanza siasa za accomodations na compromise in some areas lakini sio zote, pia huu ni wakati muafaka CCM ikayafanyia kazi mapungufu yote yaliyotajwa kuhusiana na Muungano wa sasa, ni muhimu sana CCM ikawatumia hao hao walalamikaji wakubwa kuhusu kero za Muungano wa sasa juu ya ushauri wa namna ya kuyatatua. Kuna hoja nzito sana zimesemwa na wasiotaka Muungano wa sasa na nyingi sio siri zipo valid, sasa zikumbatiwe na kufanyiwa kazi katika kuweka Tanzania kwanza. CCM iendelee kusimamia hoja zake ambazo ni basic yaani the core of its values ambazo zinafahamika sana ikiwa ni pamoja na Serikali 2.

- CCM ndio chama tawala kwa uamuzi wa wananchi wa Tanzania, na sheria ipo wazi kwamba ndio wenye the uppperhand ya maamuzi magumu na pia kusimamia sera zake, wanaodai otherwise wajifunze maana ya kushinda uchaguzi na kuwa wengi bungeni ni pamoja na kuwa na nafasi kubwa ya kuamua Sheria mpya, sio makosa ya CCM ni sheria tulizojiwekea wenyewe!!

MUNGU AIBARIKI TANZANIA!!


Le Mutuz

kwel una hoja ya msingi sana ila kingereza chako kinaboa sana katikati ya maneno ya kiswahili.
 
- Hoja yangu ipo very clear kwamba vita vya Serikali 2 na 3 vimekwisha, sasa ni wakati wa CCM kukaa chini na kutafakari hoja za upande wa pili yaani za Serikali 3, nia na madhumuni yao ni nini hasa na ni kwa sababu gani wamefikia hayo maamuzi kwa sababu siri wanaolilia Serikali 3 wana kero zao nzito sana kumbuka at the heart ya kilio chao ni kuvunja Muungano, sasa unapoona Waziri Mkuu Mstaafu na Makamu wa Kwanza wa Rais wa CCM anasimama jukwaani na kuanza kulilia kuvunja Muungano, tenba sio kwa siri bali wazi wazi na hata mbele ya bunge la jamhuri lazima kuna tatizo mahali sasa ni wakati wa CCM kukaa chini na kusikiliza baadhi ya hoja zake maana na yeye kuna anao wawakilisha na hizo hoja zake za kutaka kuvunja Muungano.

- CCM ni chama kikubwa sana na kimepitia mengi sana kufikia kilipo, sasa ni wakati wa kumuomba huyo huyo Waziri Mkuu Mstaafu wa CCM Warioba kuongoza kamati ya utafiti wa mapungufu ya Muungano na kuyafanyia kazi mara moja. Lakini CCM kwanza ikubali kwamba yapo mapungufu na iyaseme wazi kwa public and then ndio waanze kuyafanyia kazi.

Le Mutuz
Le Mutuz,
Inaelekea hujasoma vizuri hotuba ya Mwenyekiti Warioba na kujua kero za muungano zikoje! Ili uweze kutoa hoja vizuri nakushauri ukasome kwanza hotuba ya Mzee Warioba, Usome rasimu ya katiba mpya ndio ujitokeze na hoja kuhusu vita ya serikali ngapi!
Kuna suala la ardhi wewe unashauri litatuliwe vipi? (kumbuka hili lipo kikatiba huko Zanzibar)
Kuna suala la Raisi wa Jamuhuri ya Muungano! uweje? kwa zamu au matokeo yaamue? vipi Raisi wa Muungano akitoka chama tofauti na Raisi wa Zanzibar? unategemea maridhiano yatakuwepo?
Vipi kuhusu mamlaka ya Raisi wa Zanzibar na Raisi wa Muungano kikatiba na kiutekelezaji?
Vipi kuhusu mamlaka za kodi (TRA na ZRB) mipaka yake ya kikazi?
Vipi kuhusu kuchangia mfuko wa muungano? Je huoni kama Zanzibar wanalalamika kuwa Muda mwingi wa Raisi wa muungano anautumia kushughulika na mambo ya Tanganyika?
Uhusiano wa kimataifa utunzweje katika serikali 2?
Urari wa kazi katika serikali ya Muungano uweje? Usajili wa vyombo vya majini na angani uweje?
Naomba utoe mapendekezo na sio utoe conclusion( jawabu la mwisho) kuwa vita imekwisha.
Nimefurahishwa na takwimu zako kuhusu walioiunga hotuba ya raisi mkono ni 440 kati ya 600+. Sasa uwoga wa kura ya siri unatoka wapi?
Na je ukizungumzia chama chenye dola kwenye bunge la katiba unafikiri upo sahihi kweli?
Nikutakie siku njema!
 
- Well, reading the mood ya Bunge la Katiba toka siku Rais alipohutubia tayari ukweli unajisema wazi kwamba the TRUTH has settled in na the bottomline ni juzi Wabunge 440 walipojitokeza na kuunga mkono kwa nguvu kubwa sana Hotuba ya Rais. The fact kwamba kati ya Wabunge hao 440, 135 ni kutoka kwenye Wajumbe walioteuliwa na Rais ambao sio Wabunge wa Bunge la jamhuri ni ukweli usiopigika kwamba Hoja ya Serikali 2 inazungumzika kuliko hoja ya zingine zote na uchaguzi wa jana kwenye kamati za bunge yanazidi kujisema wazi kwamba CCM yenye namba kubwa ya Wabunge bungeni kwa mujibu wa Sheria, ndio yenye nafasi kubwa ya kuandika Sheria kama Sheria inavyosema yaani 2/3 ya Wabunge wengi.

- HOWEVER:-
It is a high time now CCM, wakakaa chini na kuanza siasa za accomodations na compromise in some areas lakini sio zote, pia huu ni wakati muafaka CCM ikayafanyia kazi mapungufu yote yaliyotajwa kuhusiana na Muungano wa sasa, ni muhimu sana CCM ikawatumia hao hao walalamikaji wakubwa kuhusu kero za Muungano wa sasa juu ya ushauri wa namna ya kuyatatua. Kuna hoja nzito sana zimesemwa na wasiotaka Muungano wa sasa na nyingi sio siri zipo valid, sasa zikumbatiwe na kufanyiwa kazi katika kuweka Tanzania kwanza. CCM iendelee kusimamia hoja zake ambazo ni basic yaani the core of its values ambazo zinafahamika sana ikiwa ni pamoja na Serikali 2.

- CCM ndio chama tawala kwa uamuzi wa wananchi wa Tanzania, na sheria ipo wazi kwamba ndio wenye the uppperhand ya maamuzi magumu na pia kusimamia sera zake, wanaodai otherwise wajifunze maana ya kushinda uchaguzi na kuwa wengi bungeni ni pamoja na kuwa na nafasi kubwa ya kuamua Sheria mpya, sio makosa ya CCM ni sheria tulizojiwekea wenyewe!!

MUNGU AIBARIKI TANZANIA!!


Le Mutuz

Kama unakubali na unakiri kamati zilipatikana kidemokrasia vipi tena demokrasia hiyo hiyo mnaikataa kutumika kwenye kanuni ya 37 na 38? Au ni demokrasia gani wewe ulimaanisha na kuiandika kijivuni?na kama kuna aina nyingi za demokrasia pia naomba kujua.
 
Mbona watu husema mtoto wa nyoka ni nyoka? 1993 mzee wetu ambaye ni babako alisimamia show ya serikali 3 kama vijana wanavyopenda kuita alikuwa hajielewi? Au wewe sio mtoto wa nyoka? Unamdhalilisha mzee punguza perepere za mtandaoni Willy
 
Kuandika katiba ya serikali mbili lazima itazingatia kuwa kuna nchi mbili. Warioba kauliza jee inawezekana kurudi kwa Wazanzibar na kuwataka warudi nyuma na kufanya marekebisho ya katiba yao ili kutoa kipengele cha Zanzibar ni nchi yenye mipaka yake? HAIWEZEKANI, na Wazenji wamesema hilo tusahau. Bado ndani ya katiba hiyo ya Zanzibar kuna vipengele vingi vinavyo ifanya serikali ya Muungano isiwe na mamlaka ndani ya Zanzibar,hapo napo jee?
Mzee Warioba kaja na majibu ya kitaalamu yaliyofanyiwa utafiti na tume yake na kama tume nyingine za wataalamu hapo awali zilivyo pendekeza. Ila kwa ubabe na kejeli kama ilivyozoeleka wameamua (ccm) kumtukana na kumdhihaki.
Kwa maoni yangu, katiba hii haitafanikiwa kutengenezwa kama maoni ya Tume hayatazingatiwa na kikwazo kitakuwa Wajumbe toka Zanzibar watakao linda katiba yao isiguswe.


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Kuna kuku bado wanaamini Katiba ya NCHI ni utashi wa chama.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
[h=2][/h]
Mimi nitakuwa mtu wa mwisho kumwelewa huyu rais kwa sababu zifuatazo.

1.analalamikia idadi ya watu waliotoa maoni kuwa ni ndogo wakati tume aliunda yeye na muda na bajeti katoa yeye.
kwa hapa maswali ni haya.

.Kwa nini hakutoa mwaka mzima kama wa tume ya jaji kisanga?
.Kwa nini hakuongeza bajeti ili ikibido hata chopa zitumike?
.Yeye alichaguliwa na watanzania mil ngapi kati ya watu mil45?

2.Analalamikia mfumo wa serikali tatu na si mbili maswali hapa ni haya.
.Sio yeye alitoa hadidu za rejea?
.Kama ni yeye kwa nini yote aliyotunga juzi hakutunga wakati huo na kuyafanya hadidu za rejea?
.Kama serikali tatu ni mbaya kama alivyotuambia na kwa jinsi zanzibar ilivyovunja katiba ya jamhuri haoni ni wakati sasa wa kuwa na serikali moja?
.Je haoni kama aliyokuwa akitoa juzi ni maoni yake ambapo atakuwa amevunja sheria kwa kutoa maoni wakati kisheria muda ulishaisha?

3.Kwa mujibu wa sheria walizojiwekea jaji warioba alitakiwa kuwakilisha rasimu ya pili mbele ya bunge la katiba lakini kwa kupindisha sheria aliwakilisha rasimu mbele ya semina ya wajumbe ambao wangekuja kuwa wabunge wa bunge maalu la katiba,maswali hapa ni haya.
.Mh rais haoni kavunja sheria kwa kutoa maoni na msimamo badala ya kutimiza matakwa ya sheria yaliyomtaka kulizindua bunge>
.Rais haoni kuwa spika kakiuka sheria kwa warioba kuwakilisha rasimu kwa kitu ambacho shria yenyewe haikitambui?
.Nikienda mahakamani na kumshitaki kwa ukiukwaji mkubwa wa sheria uliofanywa na yeye atatumia hela za uma kulipa gharama za kesi au atatumia mshahara wake?
.Kwa nini hakuyatoa hayo maoni anayoona kwa busara zake ni mazuri katika tume ya warioba/au ni ushauri aliokuja kuupata mbele?
.Kwa ukiukwaji huu mkubwa wa shria uliofanya na rais ambaye tulitegemea kuwa ni mfano katika kusimamia sheria haoni ametufundisha sisi wa chini kuvunja sheria?

Mwisho namalizia kwa kumwambia atake serikali 1,2,3,4,5,6,7,8,9 ahakikishe TANG​
 
Back
Top Bottom