Umenikumbusha siku ya Mkutano Mkuu maalum wa CCM, Mzee Wasira alipopewa nafasi ya kumsifia Kinana, akaeleza Chama Chao kilivyokuwa na Hali ngumu mwaka 2012 Hadi uchaguzi wa 2015. Nikakumbuka mwaka huo huo huyu Mzee alivyotabiri kifo cha CHADEMA kabla ya 2015 nikamuuliza, makanisani na misikitini huwa wanakwenda kufanya nini kama ni Wanafiki kiasi hicho?Kwakuwa imeishiwa ushawishi na inaona aibu kukubali, na sana sana hofu yao kubwa watakapotoka madarakani wengi wao wataishia jela kutokana na wizi na unyama waliofanyia wananchi.
.CCM ilishakufa kilichobaki ni dola pekee
CCM ya Sabaya, Magufuli, ALLY HAPPY, usalama, polisi, utekaji, uuaji, ubambikiaji kesi haina cha kujisahihisha. Isubiri kuchomwa moto na MUNGU.Kwa machalii na dogo wengi, hawawezi kuijua hii Operation Tujisahihishe , ambao ulikuwa msimamo wa chama TANU, Mwaka 1976/77.
Mwalimu, a thinker, strategist na visionary, aliliona tatizo katika misimamo ya chama, misimamo ambayo ilileta utata na matatizo makubwa katika jamii.
Mojawapo ya matatizo ni msimamo wa chama cha TANU Operation Musoma, ambapo wanafunzi wote waliomaliza Form VI walitakiwa kwenda JKT kwa mwaka mmoja na kujajiriwa kwa mwaka ndipo waende Chuo Kikuu chochote.
Athari zake zilikuwa kubwa na mbaya sana, hasa kwa wanawake, waliopoteza nafasi za kusoma na kuishia kuolewa.
Operation TUJISAHIHISHE, ya 1976, ilikuja ondoa kabisa kadhia hii, kwa kujisahihisha wenyewe, na sasa CCM kusonga mbele.
CCM ya sasa na vikao vyake vya Kamati zKuu na Halmashauri Kuu hadi Mkutano Mkuu, havijaweza mpaka sasa kuwa na ujasiri wa kutamka wazi wazi madudu ya kutisha, ya kisiasa ya Awamu ya Tano.
Awamu ya Tano ni zao la CCM.
Hatuwezi kuwaachia wapinzani, kina Zito wa ACT, ndio watuonyeshe njia sahihi wakati nasi tulikuwepo na tuliona madudu na tunajua namna ya kuyasahihisha.
Naamini Komredi Kinana, na hata Kikwete miaka ya Operation Tujisahihishe walikuwa vijana wa TANU.
Hili ni somo ambalo chama, kwanza kikubali makosa makubwa yalitendeka , pili chama kitamke namna ya kuyasahihisha ili yasirudiwe tena.
Huo ndio utakuwa ukomavu wa kisiasa kwa chama CCM.
Hayo ni pamoja na madudu ya wizi .ambayo hayatokani na msimamo wa chama.
Mkuu CCM, kwa muda mrefu tu ujao, kitakuwa ni chama kinachoonyesha dira ya mustakabali na muelekeo wa wananachi wa Tanzania.Na CCM ni chama kikubwa kuliko mtu yeyote.
CCM lazima iendeshwe na mawazo chanya, hakiwezi kujifungia na kutekwa katika pressure groups za ukabila, ubaguzi hata ukanda.
Kujisahihisha ni muhimu kwani chama kutakuwa kime preempt matatizo yake yenye athari mbaya katika jamii.
Vilevile kujisahihisha ndio guarantee kwamba makosa yaliyofanyika hayatarudiwa tena.
Exactly. Ingawa naamini 2005 walishinda uRais kwa kura halali ingawa, kama kawaida yao, lazima waliiba za ziada kwa kutojiamini.Ccm haijawahi kushinda..ni wizi wa kura na mabavu...kupitia tume na vyombo vya dola.
#MaendeleoHayanaChama
Naafiki absolutely!The only solution ni pale mtakapokubali kumuondolea Rais wa JMT “absolute power”, kumuweka chini ya utawala wa sheria, na kurejesha uhuru wa Bunge, mahakama na tume ya uchaguzi: Katiba mpya ya JMT.
Chama kikiwa na unpopular policies, watendaji wake wanataka status quo, iliwabaki madarakani.Kwanini CCM ilipora uchaguzi mkuu?
Ni kweli CCM ilikufaga Dodoma tangu enzi za Katibu Mkuu Korimba baada ya kusema ukweli kwamba CCM haina dira wala mweleleo. Hakurudi Dar tena - wakamkorimba.CCM ilishakufa kilichobaki ni dola pekee
Hayo mambo walishindwa kina Mzee Samuel Sitta na CCJ yao wakaishia kumtowa kafara Fred Mpendazoe wao na kina Nape wakabaki ccm.Ni ngumu kwa Sasa kuanzisha operation aina hiyo kwa sababu itakuwa kwa sehemu kubwa kuzungumzia madudu ya awamu ya tano. Tatizo ni kwamba masalia ya Magufulist bado wapo wengi na wanaweza kukiletea chama chao mtikisiko mkubwa sana.
Tayari Kuna tetesi ya kuanzishwa chama Cha masalia hao ingawa kwa ubabe wa CCM hakiwezi kusajiliwa aslan.
Makosa mengine ni ya viongozi binafsi, na hayaendani kamwe na misimamo na sera za chama.Hayo ni pamoja na madudu ya wizi .ambayo hayatokani na msimamo wa chama.
Makosa mengine ni ya viongozi binafsi, na hayaendani kamwe na misimamo na sera za chama.
CCM haijawahi kuvumilia uonezi, ukabila, ubabe wa kiongozi, wizi na maovu kama hayo.
Lakini chama chako CCM kimebariki wizi huo, serikali imeundwa kutokana na wabunge waliotokana na wizi wa kura, na bunge la CCM linaendelea kutunga sheria na kuishauri serikali. Huwezi kusema madudu hayo hayatokani na chama chako.Hayo ni pamoja na madudu ya wizi .ambayo hayatokani na msimamo wa chama.
Kianzishwe tu, watu wagawane mbao. Tuanze upya.Ni ngumu kwa Sasa kuanzisha operation aina hiyo kwa sababu itakuwa kwa sehemu kubwa kuzungumzia madudu ya awamu ya tano. Tatizo ni kwamba masalia ya Magufulist bado wapo wengi na wanaweza kukiletea chama chao mtikisiko mkubwa sana.
Tayari Kuna tetesi ya kuanzishwa chama Cha masalia hao ingawa kwa ubabe wa CCM hakiwezi kusajiliwa aslan.
Mkuu Mudawote ukuje umsome kada mwenzako huku.Kwa machalii na dogo wengi, hawawezi kuijua hii Operation Tujisahihishe , ambao ulikuwa msimamo wa chama TANU, Mwaka 1976/77.
Mwalimu, a thinker, strategist na visionary, aliliona tatizo katika misimamo ya chama, misimamo ambayo ilileta utata na matatizo makubwa katika jamii.
Mojawapo ya matatizo ni msimamo wa chama cha TANU Operation Musoma, ambapo wanafunzi wote waliomaliza Form VI walitakiwa kwenda JKT kwa mwaka mmoja na kujajiriwa kwa mwaka ndipo waende Chuo Kikuu chochote.
Athari zake zilikuwa kubwa na mbaya sana, hasa kwa wanawake, waliopoteza nafasi za kusoma na kuishia kuolewa.
Operation TUJISAHIHISHE, ya 1976, ilikuja ondoa kabisa kadhia hii, kwa kujisahihisha wenyewe, na sasa CCM kusonga mbele.
CCM ya sasa na vikao vyake vya Kamati zKuu na Halmashauri Kuu hadi Mkutano Mkuu, havijaweza mpaka sasa kuwa na ujasiri wa kutamka wazi wazi madudu ya kutisha, ya kisiasa ya Awamu ya Tano.
Awamu ya Tano ni zao la CCM.
Hatuwezi kuwaachia wapinzani, kina Zito wa ACT, ndio watuonyeshe njia sahihi wakati nasi tulikuwepo na tuliona madudu na tunajua namna ya kuyasahihisha.
Naamini Komredi Kinana, na hata Kikwete miaka ya Operation Tujisahihishe walikuwa vijana wa TANU.
Hili ni somo ambalo chama, kwanza kikubali makosa makubwa yalitendeka , pili chama kitamke namna ya kuyasahihisha ili yasirudiwe tena.
Huo ndio utakuwa ukomavu wa kisiasa kwa chama CCM.
Nadhani tunachotofautiana ni namna ya kuyajadili haya mambo ya awamu ya 5 ambayo kimsingi hata Mama Samia naye ni sehemu ya hii ripoti ya kupikwa. Mazuri yote yaliyofanyika chini ya Dkt Magufuli yanajulikana na wengi wanakubali, inakuwaje mnakomaa na vitu petty vya kupika???Mkuu Mudawote ukuje umsome kada mwenzako huku.
Kawaida kenge hasikii hata pale ubongo utakavyo ning'inia nje ya fuvu lake🐒Kwa machalii na dogo wengi, hawawezi kuijua hii Operation Tujisahihishe , ambao ulikuwa msimamo wa chama TANU, Mwaka 1976/77.
Mwalimu, a thinker, strategist na visionary, aliliona tatizo katika misimamo ya chama, misimamo ambayo ilileta utata na matatizo makubwa katika jamii.
Mojawapo ya matatizo ni msimamo wa chama cha TANU Operation Musoma, ambapo wanafunzi wote waliomaliza Form VI walitakiwa kwenda JKT kwa mwaka mmoja na kujajiriwa kwa mwaka ndipo waende Chuo Kikuu chochote.
Athari zake zilikuwa kubwa na mbaya sana, hasa kwa wanawake, waliopoteza nafasi za kusoma na kuishia kuolewa.
Operation TUJISAHIHISHE, ya 1976, ilikuja ondoa kabisa kadhia hii, kwa kujisahihisha wenyewe, na sasa CCM kusonga mbele.
CCM ya sasa na vikao vyake vya Kamati zKuu na Halmashauri Kuu hadi Mkutano Mkuu, havijaweza mpaka sasa kuwa na ujasiri wa kutamka wazi wazi madudu ya kutisha, ya kisiasa ya Awamu ya Tano.
Awamu ya Tano ni zao la CCM.
Hatuwezi kuwaachia wapinzani, kina Zito wa ACT, ndio watuonyeshe njia sahihi wakati nasi tulikuwepo na tuliona madudu na tunajua namna ya kuyasahihisha.
Naamini Komredi Kinana, na hata Kikwete miaka ya Operation Tujisahihishe walikuwa vijana wa TANU.
Hili ni somo ambalo chama, kwanza kikubali makosa makubwa yalitendeka , pili chama kitamke namna ya kuyasahihisha ili yasirudiwe tena.
Huo ndio utakuwa ukomavu wa kisiasa kwa chama CCM.
Vyakupika wakati yote ya awamu Yako pendwa mambo hadharani 🤸🤸Nadhani tunachotofautiana ni namna ya kuyajadili haya mambo ya awamu ya 5 ambayo kimsingi hata Mama Samia naye ni sehemu ya hii ripoti ya kupikwa. Mazuri yote yaliyofanyika chini ya Dkt Magufuli yanajulikana na wengi wanakubali, inakuwaje mnakomaa na vitu petty vya kupika???
Ripoti imepikwa hiyo kwa maelekezo maalumu.Vyakupika wakati yote ya awamu Yako pendwa mambo hadharani 🤸🤸