Mimimollel
Member
- Mar 9, 2024
- 8
- 6
Wewe kijana mwenzangu, achana na mawazo ya kupinga CCM, nafikiri ni hekima kupinga uovu, kuwakataa waovu, naamini upinzani wa namna hii utatoa matokeo makubwa ukiwa ndani ya CCM kuliko huko nje. Tuijenge nchi yetu, tusiharibu waliposimamia wajenzi wa msingi. TANZANIA NI KWETU