CCM ni yetu sote, tusiikimbie

CCM ni yetu sote, tusiikimbie

Mimimollel

Member
Joined
Mar 9, 2024
Posts
8
Reaction score
6
Wewe kijana mwenzangu, achana na mawazo ya kupinga CCM, nafikiri ni hekima kupinga uovu, kuwakataa waovu, naamini upinzani wa namna hii utatoa matokeo makubwa ukiwa ndani ya CCM kuliko huko nje. Tuijenge nchi yetu, tusiharibu waliposimamia wajenzi wa msingi. TANZANIA NI KWETU
 
Nchi inaweza kujengwa na chama chochote kuachana na hiyo ccm yenu
 
Wewe kijana mwenzangu, achana na mawazo ya kupinga CCM, nafikiri ni hekima kupinga uovu, kuwakataa waovu, naamini upinzani wa namna hii utatoa matokeo makubwa ukiwa ndani ya CCM kuliko huko nje. Tuijenge nchi yetu, tusiharibu waliposimamia wajenzi wa msingi. TANZANIA NI KWETU
Yaani uwakosoe viongozi wa CCM ukiwa humo humo ndani ??!!
Usiwadanganye watu !
Ukijaribu utakiona kilichomnyoa Kanga manyoya !
 
Wewe kijana mwenzangu, achana na mawazo ya kupinga CCM, nafikiri ni hekima kupinga uovu, kuwakataa waovu, naamini upinzani wa namna hii utatoa matokeo makubwa ukiwa ndani ya CCM kuliko huko nje. Tuijenge nchi yetu, tusiharibu waliposimamia wajenzi wa msingi. TANZANIA NI KWETU
Umeandika Nini mkuu mana tupo nyuma sana wenzetu wakenya hiyo kanu ilishakufa siku nyingi
 
Hayo ongelea huko CCM kwenu, usituletee mambo yako hapa
 
Wewe kijana mwenzangu, achana na mawazo ya kupinga CCM, nafikiri ni hekima kupinga uovu, kuwakataa waovu, naamini upinzani wa namna hii utatoa matokeo makubwa ukiwa ndani ya CCM kuliko huko nje. Tuijenge nchi yetu, tusiharibu waliposimamia wajenzi wa msingi. TANZANIA NI KWETU
Tofauti ya Nchi na CCM unaijua? Au umeshiba Ulojo huko kwenu Zanzibar?
 
Wewe kijana mwenzangu, achana na mawazo ya kupinga CCM, nafikiri ni hekima kupinga uovu, kuwakataa waovu, naamini upinzani wa namna hii utatoa matokeo makubwa ukiwa ndani ya CCM kuliko huko nje. Tuijenge nchi yetu, tusiharibu waliposimamia wajenzi wa msingi. TANZANIA NI KWETU
Sikujua kama nchi yetu Ina watu wajinga kama wewe. Kwa hiyo hata tuongozwe na matapeli kama ya sasa ni Sawa tu kisa ni CCM ? Nchi yetu itapiga hatua lini tukilea majizi kama haya kutwa nzima kusifia mama huku yanaiba bila aibu. Ripoti za CAG kila mwaka trions of money are pocketed na hakuna hatua zinachukuliwa,wewe unaleta habari za chama cha matapeli .shame on you dada
 
Wewe kijana mwenzangu, achana na mawazo ya kupinga CCM, nafikiri ni hekima kupinga uovu, kuwakataa waovu, naamini upinzani wa namna hii utatoa matokeo makubwa ukiwa ndani ya CCM kuliko huko nje. Tuijenge nchi yetu, tusiharibu waliposimamia wajenzi wa msingi. TANZANIA NI KWETU
huwezi kusukuma lori ukiwa ndani,toka
 
Ushakunywa ma kiloriti yako huko mkund*** sasa unakuwasha!
 
Back
Top Bottom