covering risks
Senior Member
- Mar 13, 2015
- 125
- 124
Bila shaka kila Mtanzania wa leo ambaye anampenzi mema na nchi yetu Tanzania amejiridhisha pasipo shaka kuwa babu zetu na wazee wetu walifanikiwa kupambana na utawala wa mzungu ambaye tulimuita mkoloni Kwa sababu ya matendo yake kwa waafrika,
Ukitazama malengo ya kumtoa mkoloni yaklikuwa ni mazuri,hasa suala zima la Uhuru wa kujiamulia mambo yetu,lakini sasa amekuja mkoloni ambaye tunaishi naye nyumba moja naye si mwingine ni CCM na vyombo vyake, mkoloni alitumia nguvu kuitawala Tanganyika ndivyo ilivyo Kwa ccm kutumia jeshi dola kuendelea kutawala.
Ukitazama malengo ya kumtoa mkoloni yaklikuwa ni mazuri,hasa suala zima la Uhuru wa kujiamulia mambo yetu,lakini sasa amekuja mkoloni ambaye tunaishi naye nyumba moja naye si mwingine ni CCM na vyombo vyake, mkoloni alitumia nguvu kuitawala Tanganyika ndivyo ilivyo Kwa ccm kutumia jeshi dola kuendelea kutawala.