My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,932
- 13,283
Mara nyingi tunaongea humu, kuwa CCM ni chama chakavu kilichoishiwa mbinu za kutawala kistaarabu badala yake wanategemea nguvu za Dola kubakia madarakani.
Nawaonya CCM tena, mjue kuwa Mungu yupo na anaishi milele ni Mungu wa haki ni Mungu wenu pia, nasi pia ni Mungu wetu, ila yeye husimama na wenye haki tu ndio principle ya Mungu hiyo.
Kama matendo yenu dhidi ya wapinzani ni haki, Basi mtazidi kustawi, ila Kama ni uonevu Basi muda wenu umefika. Mungu, hujibu maombi, keshatujibu maombi mawili Tayari, Bado maombi mawili tu kinaeleweka haki ya Mungu.
Kila la heri CCM,nyie mna haki kuliko mtu yoyote Tanzania.
Nawaonya CCM tena, mjue kuwa Mungu yupo na anaishi milele ni Mungu wa haki ni Mungu wenu pia, nasi pia ni Mungu wetu, ila yeye husimama na wenye haki tu ndio principle ya Mungu hiyo.
Kama matendo yenu dhidi ya wapinzani ni haki, Basi mtazidi kustawi, ila Kama ni uonevu Basi muda wenu umefika. Mungu, hujibu maombi, keshatujibu maombi mawili Tayari, Bado maombi mawili tu kinaeleweka haki ya Mungu.
Kila la heri CCM,nyie mna haki kuliko mtu yoyote Tanzania.