CCM ndio chama makini...

CCM ndio chama makini...

ccm kwa rushwa ndo kwenyewe. asilimia kubwa ya wagombea ubunge walioshinda kwenye kura za maoni kupitia ccm wametoa rushwa..
 
2mia akili yako vzur kufikilia usiwe kama unajibu swali la bahat na sibu! ni jimbo gani ambalo lilikua chini ya chadema alina maendeleo na wanashida gani mbaka asaiv! n mbunge gani wa chadema ambaye amewah kuchukua au kutoa lushwa bila ya yawajibisha kkatiba ya chama!!! au wewe ndo unayewauzia mbnga za milioni 40 awo mafisadi maana mimi naumiza kichwa sana bcoz enz za mkapa mbnga za majan zilkua tsh 50 asaiv tsh 500 nyama ilikua tsh1500 asaiv tsh 8000 sasa ao wenzetu wananunua mboga gan!!?
 
Huyu Ccm damu yupo nchini hii?!! Katiba mpya ipo wapi? chengecha na vijisent vyake anazulula tuu mtaani, watoto wa viongozi wetu ni mabillionare na hawana biashara ya maana, mmedhibiti rushwa ndani ya CCM yenu?? TBCCM inawapendelea hata haumuogopi, shame on you
 
Mwaka 2005 baada ya uchaguz ikawa kama ifuatavyo! lowasa akaanza kuboresha miundombinu ya elimu kwa kujenga shule kila kata na kuweka vifaa vyote vya ufundishaji na pia alikua na makakat wa kuweka A - Level 5 kila kata! ndani ya mwaka mmoja na miez miwiki alyokua kama wazili mkuu aliweza kufanya meng ingawa muda aukumtosha akawa amepabhikwa ktk kesi iciyo muhusu kabisa! yan kufkia sasa tanzania ingekua juu sana ktk kielimu east afrika!
sasa wakati lowasa anaangaika kujenga shule, waziri wa ujenz na miumdo mbinu akawa anauza nyumba za watumishi (kota) na ndomana walimu wanalalamika mishahara aitosh kwakua walkua wanakaa kota laki sikuiz wanakaa nyumba za kupanga, alipie chumba,maji,umeme wazoa takataka kwa mshara wa 300 elfu iv inawatosha kweli uyo magufuli ndiye aliye leta umaskinji na rais wake jk
 
Mbowe amekuwa malaika Gabriel anatakasa watu na kuwapaka mafuta ..ameamua kudhiaki dini zetu kwa uroho wake eti ukie da kwake unakuwa msafi, amejigeuza kakobe ..usaliti utammaliza na tamaa ya madaraka
 
humu ndani ni bavicha imejaa ila hatuwezi kuwapa ni waroho wa madaraka tutauzwa cc...bora afadhali kuliko potelea mbali... leo hii mnakumbatia wale mliowachafua kwa ufisadi mna kazi kubwa kuwasafisha kwetu sisi.. viongozi wa juu wote wamekimbia kambi...
 
Wosia wa Baba wa Taifa kwa Watanzania
"Mtu yeyote anayeonekana anapenda sana kwenda Ikulu, na hata yuko tayari kununua kura kufika Ikulu ni wa kukwepa kama ukoma. Hafai. Kwanza, hizo fedha kapata wapi? Mtanzania wa leo hawezi kununua watu bila kwanza yeye kununuliwa. Kazipata wapi? Watanzania hawa wote masikini hawa. Mtanzania anaomba Urais wetu kwa hela, amezipata wapi? Kama hajanunuliwa kazipata wapi huyu? Na kama kanunuliwa anataka kuzilipaje. Kama kakopa, atarudishaje?"
 
Wosia wa Baba wa Taifa kwa Watanzania
"Mtu yeyote anayeonekana anapenda sana kwenda Ikulu, na hata yuko tayari kununua kura kufika Ikulu ni wa kukwepa kama ukoma. Hafai. Kwanza, hizo fedha kapata wapi? Mtanzania wa leo hawezi kununua watu bila kwanza yeye kununuliwa. Kazipata wapi? Watanzania hawa wote masikini hawa. Mtanzania anaomba Urais wetu kwa hela, amezipata wapi? Kama hajanunuliwa kazipata wapi huyu? Na kama kanunuliwa anataka kuzilipaje. Kama kakopa, atarudishaje?"

Aliyepo ikulu aliyefanya kazi ya kumuweka hapo ni nani km c lowassa na rostam?
Kuwa makini na uandishi wako.
 
Back
Top Bottom