CCM ndio chama bora Afrika Mashariki na kati

CCM ndio chama bora Afrika Mashariki na kati

Hivi ww bila aibu unakaa na kuandika upuuzi kama huu kwnn hamtaki kufufuka toka kuzimu?
Ni aibu kwa mtu anayejiita great thinker af unaandika upuuzi hivi. Wewe ni great sinker
 
Huu ni ufisadi ndani ya Lumumba.Kama hii post ifweero kalipwa buku saba basi nashauri iundwe tume kuchunguza mchakato wa malipo Lumumba...Post za kihuni kama hizi ni lazima zipaziwe sauti kama malipo yamefanyika!
 
Last edited by a moderator:
Exactly the opposite! CCM ndiyo Chama cha ovyo kuliko vyote duniani!

......Maonyesho ya CCM LIVE MWANZA !!!!


img_7902.jpg
 
Nakubaliana na wewe mkuu ifweero :

Vyama vingine vya siasa hapa Tanzania na Afrika kwa ujumla vina mengi mazuri ya kujifunza kutoka CCM.

Multiple IDs imepata tafsiri halali!
 
Last edited by a moderator:
Huu ni ufisadi ndani ya Lumumba.Kama hii post ifweero kalipwa buku saba basi nashauri iundwe tume kuchunguza mchakato wa malipo Lumumba...Post za kihuni kama hizi ni lazima zipaziwe sauti kama malipo yamefanyika!

Agreed mkubwa! Hata ndani ya kambi ya mafisadi ufisadi wa namna hii haukubaliki!
 
Last edited by a moderator:
Hivi unashauri vyama vingine viige kulipua mikutano ya wapinzani nakuua waandishi wa habari,huna tofauti na boga shambani
 
Nakubaliana na wewe mkuu ifweero :

Vyama vingine vya siasa hapa Tanzania na Afrika kwa ujumla vina mengi mazuri ya kujifunza kutoka CCM.

Habari za Mkuranga Enock?
 
Last edited by a moderator:
Nchi za Afrika na vyama vyao vya siasa, zinachukua mfano wa uongozi bora,demokrasia ya kweli na utawala bora kutoka kwa ccm ya Tanzania.

CCM inajali utu, usawa na haki kwa raia wake.Falsafa na misingi yake hii haijapata wa kuenenda vizuri zaidi yake.

Haina mpinzani,wengi waliojaribu wameshindwa kwasababu ni walaghai, walafi wa madaraka na wababaishaji.

Mtanzania kwa mfano hapendi kudharauliwa wala kupuuzwa. CCM ni dira,wengine wanafuata.

kabisa mkuu asilimia 100
 
umesahau na kipengele kuwa polisi wake wanalawiti watuhumiwa.

Nchi za Afrika na vyama vyao vya siasa, zinachukua mfano wa uongozi bora,demokrasia ya kweli na utawala bora kutoka kwa ccm ya Tanzania.

CCM inajali utu, usawa na haki kwa raia wake.Falsafa na misingi yake hii haijapata wa kuenenda vizuri zaidi yake.

Haina mpinzani,wengi waliojaribu wameshindwa kwasababu ni walaghai, walafi wa madaraka na wababaishaji.

Mtanzania kwa mfano hapendi kudharauliwa wala kupuuzwa. CCM ni dira,wengine wanafuata.
 
Huyu si mtu mmoja jamani anyejitekenya na kujichekea mwenyewe!

Acha kujidanganya Mkuu.

Mimi niko zangu Arusha. Huyu ifweero ni mwenzangu tu katika harakati.

Sikuwahi kumuona wala kujua yuko wapi, ila kwa ajili tuko mrengo mmoja ndio maana tunasapotiana namna hii katika kutetea ukweli huu.

Acheni mawazo potofu!
 
Last edited by a moderator:
Maskini wa fikra ni wewe unayekaa kufikria kuandika upuuzi tu ili upate buku 7 ya kuishi.
Una uhakika na unachokiandika? au na wewe unafuata mkumbo?
Inawezekanaje kila mtu anayeandika kinyume na matakwa ya CHADEMA awe analipwa?
Mambo mengine mnayoandika ni ya kitoto sana, na kwa hali ya kawaida hayawezekani kabisa!
 
Ni aibu kwa mtu anayejiita great thinker af unaandika upuuzi hivi. Wewe ni great sinker

Hawa ni wahuni tu Bwana ifweero , wala usihangaishe ubongo wako, tupambane kuendeleza ujenzi wa taifa letu pendwa!
 
Last edited by a moderator:
Nchi za Afrika na vyama vyao vya siasa, zinachukua mfano wa uongozi bora,demokrasia ya kweli na utawala bora kutoka kwa ccm ya Tanzania.

CCM inajali utu, usawa na haki kwa raia wake.Falsafa na misingi yake hii haijapata wa kuenenda vizuri zaidi yake.

Haina mpinzani,wengi waliojaribu wameshindwa kwasababu ni walaghai, walafi wa madaraka na wababaishaji.

Mtanzania kwa mfano hapendi kudharauliwa wala kupuuzwa. CCM ni dira,wengine wanafuata.
Mimi nawashangaa wanaokulaumu wewe peke yako..... wanasahau kuwa hakuna mfuasi wa CCM mwenye akili timamu...
 
Ifweero naona akili yako inafana na jina lake,kalaga bao
 
Ni aibu kwa mtu anayejiita GT af unaandika upuuzi huu
 
Mimi nawashangaa wanaokulaumu wewe peke yako..... wanasahau kuwa hakuna mfuasi wa CCM mwenye akili timamu...

Hivi kwa nini nimeshindwa kuuona ukweli huu uliouanika hapa siku zote??!! Asante mkuu kwa kutuonesha ukweli uliokuwa unatuangalia usoni lakini wengi wetu tukawa tunashindwa kuuona. Ubarikiwe!
 
Back
Top Bottom