Nimepita hapa Manzese leo asubuhi nikaona CCM wapo pale kama vile kuna mkutano. Anyone with idea ni nini wanataka kufanya leo au ndio propaganda zao za kuwajibu CHADEMA
nikafikiri wanataka kuwajibu chadema wangekiona cha moto kwanza haina haja kwa sababu itaonekana ni jinsi ccm ilivyo dhaifu kujibu hoja za chadema wakati taifa linaangamia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.