:spy::spy:kumekua na hatua mbalili mbali ambazo ccm imekua ikichukua kukabiliana na kuporomoka kwake,,,,,,moja ni kutumia mbinu za upinzani na kuteka mijadala,,mf,,,katiba mpya,,,mafisadi,,,,kujenga uzalendo na utaifa,,,,kuingiza vijana wasomi kwenye siasa za kitaifa,,,,,hivi karibun nec,,,ccm wametangaza kuanzisha mkoa wa vyuo vikuu,,,,kuiga mtandao wa cdm vyuon ambao umekuwa ukipingwa,,,nini hatima ya mnyukano na mtifuano vyuoni na future ya wasomi hawa,,,suala la mshindi wa urais kuhojiwa mahakamani,,,,,,,,vyema,,,lakin imezoeleka,wanavyoshindwa ku impliment hicho waigacho katika excution para,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,nini hatima ya mtifuano huoo,,,amani ya taifa hili,,,,,,,nashawishika kuwa kuna hatari itokanayo na muigo huu,,,,,,nini mtazamo wako juu ya hali hii,,,,:spy: