Ripoti iwekwe waziKama wana CCM kindakindaki, lini tutapewa taarifa ya uhakiki wa Mali za chama nchi nzima? Bashiru na Chalamila walifanya kazi nzuri hadi Mkiti akawashukuru kwanafasi mbalimbali.
Je, haki yetu kama Wanachama tunapataje taarifa?
Endelea kutafuta kulogwa