CCM na siasa za marehemu



Ukweli upi wewe umeusema?! Kama historia imepotoshwa au kupindishwa basi sahihisha na sio kuleta herufi za no na yes na ujuzi wa rangi,it doesn't help!!!
 
Ukweli upi wewe umeusema?! Kama historia imepotoshwa au kupindishwa basi sahihisha na sio kuleta herufi za no na yes na ujuzi wa rangi,it doesn't help!!!

Hivi mimi na wewe nani mpotoshoji? Jenerali Imran Kombe hakuwahi, hata kwa kukaimu, kuwa Katibu Mkuu wa CCM! Sijui uzushi wako umeutoa wapi? Maneno "CCM imepoteza dira" ni kweli yaliwahi kutamkwa na Katibu Mkuu wa CCM aliyekuwa akiitwa Horace Kolimba na alifariki miezi michache baada ya kuwekwa kiti moto na wenye chama lakini sio kwa kuuwawa na Polisi au kwa risasi.
 
Hii mijibwa imejiandaa kutuingiza kwenye genocide!! kuliko yaachie madaraka!! Tuone watu wakiamua kumwaga ukweli kwa mauaji ya TISS na mateso ya mmoja mmoja tukiazia kwa Karume sr! itakuwaje. Je ndugu wakiamka kutaka kulipa kisasi nasi tukiwaunga mkono watatoka????? waache upumbavu kama laana imeshawafika wafe wenyewe wasituhusishe na kichaa chao kinachodai damu au wehu unaotokana na ulevi wa damu walizomwaga wasituletee!! Nyie majambazi nendeni kimya kimya!!!!!!!!!!!!!Go to Helllllllllllllllllllllll!!!!!!!!!!!!
 
Sio kila mwanasiasa anayetangulia mbele za haki ameuwawa. Ila ile ya Chacha, CHADEMA hawawezi kuikwepa.
 


Asante kwa taarifa muafaka,hicho ndio nilikua nakutaka Mkuu,kumkurupua aliyejificha sometimes unapiga pembeni!!
 
Horace Kolimba alifariki ghafla saa chache baada ya kuhojiwa na NEC ya CCM kuhusu matamshi yake kuwa "CCM imekosa dira"
 
SASA WEWE dogo jinga mbona hujaweka details za hao waliouwawa zaidi ya hadithi za vijiwe vys bavicha?
 
Horace Kolimba alifariki ghafla saa chache baada ya kuhojiwa na NEC ya CCM kuhusu matamshi yake kuwa "CCM imekosa dira"
Na bila soni wakatuambia alikuwa anasumbuliwa na kifua kikuu, eti ndiyo ugonjwa uliotoa uhai wake.
 
We unaamini ugoro huo?
Prof Chachage na Prof H Othman died of natural cause, Prof Shaba yuko Marekani kwa mwanawe.
Tatizo you people can be led by the nose to believe anything.

Can you explain kifo cha Kanali Andrew Shija (alikuwa mjumbe kijana kabisa wa kamati kuu ya CCM lakini akachagua kurudi jeshini badala ya kubaki na post ya chama baada ya ujio kwa vyama vingi)? Au NAE yuko marekani?
 
List of people executed by the Tudors

This is a list of prominent people executed by the state during the reign of the Tudors. It is not exhaustive.

In the reign of Henry VIII (1509-1547)


Edmund Dudley, 1510.
Sir Richard Empson, 1510.
Edmund de la Pole, 6th Earl of Suffolk, 1513
Edward Stafford, 3rd Duke of Buckingham, 1521
John Fisher, Bishop of Rochester, 1535
Sir Thomas More, 1535
George Boleyn, Viscount Rochford, 1536
Henry Norris, 1536W
William Brereton 1536Mark Smeaton, 1536
Francis Weston, 1536Anne Boleyn, 1536
Robert Aske, 1537.
Leader of Pilgrimage of GraceFrancis Bigod, 1537.
Leader of Bigod's RebellionThomas Fitzgerald,
10th Earl of Kildare and his five uncles 1537
Edward Neville, 1538Henry Pole, 1st Baron Montagu, 1539H
Henry Courtenay, Marquess of Exeter, 1539.
Thomas Cromwell, 1540
Walter Hungerford, 1540
Margaret Pole, Countess of Salisbury, 1541.
Francis Dereham, 1541.
Leonard Grey, 1541
Thomas Culpeper, 1541.
Catherine Howard, 1542.
Jane Boleyn, 1542.
Anne Askew, 1546
Henry Howard, Earl of Surrey, 1547.st of people executed by the Tudors(nyakati za mfalme Henry VIII)
Source: Wikipedia

. Mkuu you are being horribly naive!!
Siungi mkono mauaji ya kisiasa lakini hilo limekuwa likifsnyika since time immemorial.
Challenge the powers that be at your own risk, dead heroes are of no use to any one
King Henry VIII alichinja wapinzani wake zaidi ya miaka 500 iliyopita.

Tena hawa wenzetu walituwekea na kumbukumbu.
Mkuu soma historia yako vizuri na ujitambue.
 
sio kila mwanasiasa anayetangulia mbele za haki ameuwawa. Ila ile ya chacha, chadema hawawezi kuikwepa.

sheria ya ndoa za jinsia moja ikiletwa hapa tanzania wewe lazima utawekwa kimada tu.polisi walishindwa nini kuwakamata wauaji wa wangwe?
 
huyu mhuni mchange asifikiri anaweza kuishi kwa kutengeneza uongo kama huo kwanza ni hatari kwa maisha yake ingawa kwa usaliti huu hayana maana sana,atafute shughuri ya kufanya badala ya kusubiri kujiuza ili kujikimu,haiingii akilini kwamba cdm waliwavalisha watu sare za polisi na kuwapatia silaha,halafu uhalifu huo ukafanyika mbele ya RPC huyu kijana ni mjinga sana, hata hivyo naona ccm wameishiwa mikakati kabisa kama wanakuja na ujinga kama huu,lbd kitakacho waokoa ni wizi wa kura na ujinga wa watu wetu.
 
hii nchi inahitaji maombi nje ya hapo ni janga kwa wananchi wake
 

Mnyakyusa gani unakunya kwa kutumia mdomo?
 
sheria ya ndoa za jinsia moja ikiletwa hapa tanzania wewe lazima utawekwa kimada tu.polisi walishindwa nini kuwakamata wauaji wa wangwe?

Ha ha ha haaaaaa... mkuu nimecheka mpaka!! Anazidiwa akili na huyo dogo!!?
 

Attachments

  • 1408472299774.jpg
    42.8 KB · Views: 86
Vifo vya ndugu zetu vimeshakuwa maji wa kisiasa wa CCM !
 
Mnyakyusa gani unakunya kwa kutumia mdomo?

Tatizo la watu wasio na akili sana ni kutoihusisha brsin kwenye reasoning
Hapa hskuna Unyskyusa wala Uzaramo jibu nondo kama una akili za kukutosha.
 
Katika moja za panel pale UDSM nikiwa mwaka wa pili,prof.H.Othuman alithibitisha pasipo shaka kwamba Karume sr aliuawa kwa baraka zote za Mwalimu.

Alijenga hoja za kimazingira ambazo zisingeweza kumwacha mwl. msafi.

CCM hawauwi wanasiasa tu, wanauwa hata VITOTO MALAIKA VYENYE ULEMAVU WA NGOZI-albino.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…