CCM na Serikali yake sikivu inapendwa mno na watanzania wote

CCM na Serikali yake sikivu inapendwa mno na watanzania wote

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
36,155
Reaction score
30,832
Kuthibitisha hilo,
fuatilia ziara za waziri mkuu Dr.Mwigulu Nchemba na utagundua mapenzi ya dhati ya mamilioni ya waTanazania kwa chama, serikali na viongozi wake. Watu wanajaa mno na hawajali jua wala mvua. Ni mapenzi na imani ya kiwango cha juu sana kwa chama na serikali sikivu ya CCM.

Lakini pia fuatilia mikutano ya katibu wa itikadi na uenezi Taifa ndugu Kenani Kihongosi utaona namna ambavyo wananchi wanajitokeza na kuonyesha mapenzi yao kwa chama, lakini pia uaminifu na imani yao kubwa sana kwa serikali iliyoko madarakani chini ya Rais Dr.Samia Suluhu Hassan.

Hali hiyo inathibitisha pasina shaka kwamba CCM itatawala na kuiongoza Tanzania kwa miaka mingi mno ijayo kwasababu CCM ndio tiba na suluhisho la changamoto na matatizo ya wananchi.

View: https://www.youtube.com/live/ptKkX_lQFHU?si=ohjI1fGkU8xD7GaO
 
Mayu....mayu..namulaga..ushing'weng'we.!
Wanakwenda kumshangaa Waziri Mkuu wa Nchi tena ya Muungano wa Nchi mbili asiyejua kuvaa nguo?Poor Dressing Code.Nje ya V8 ni sawa tu na kichaa wakitaa nje ya Mwandamo wa Mwezi.
 
Mayu....mayu..namulaga..ushing'weng'we.!
Wanakwenda kumshangaa Waziri Mkuu wa Nchi tena ya Muungano wa Nchi mbili asiyejua kuvaa nguo?Poor Dressing Code.Nje ya V8 ni sawa tu na kichaa wakitaa nje ya Mwandamo wa Mwezi.
mamilioni ya wananchi wanaipenda sana ccm na kwakweli wana imani kubwa na viongozi wa serikali.

huwezi kuwadanganya wananchi wa Tanzania dhidi ya uzuri wa CCM gentleman, watakuupuuza tu
 
chama cha mapinduzi kimezidi kuwa kinara kwa kulinda utu na uhai wa raia wake tizama leo maokozi ya ndugu zetu walipatwa na mkomo katika vita vya iran walivyo okolewa kimedani na kurudi nyumbani wakiwa na nyuso za furaha
 
IMG_20260205_141531_506.jpg
 
Kuthibitisha hilo,
fuatilia ziara za waziri mkuu Dr.Mwigulu Nchemba na utagundua mapenzi ya dhati ya mamilioni ya waTanazania kwa chama, serikali na viongozi wake. Watu wanajaa mno na hawajali jua wala mvua. Ni mapenzi na imani ya kiwango cha juu sana kwa chama na serikali sikivu ya CCM.

Lakini pia fuatilia mikutano ya katibu wa itikadi na uenezi Taifa ndugu Kenani Kihongosi utaona namna ambavyo wananchi wanajitokeza na kuonyesha mapenzi yao kwa chama, lakini pia uaminifu na imani yao kubwa sana kwa serikali iliyoko madarakani chini ya Rais Dr.Samia Suluhu Hassan.

Hali hiyo inathibitisha pasina shaka kwamba CCM itatawala na kuiongoza Tanzania kwa miaka mingi mno ijayo kwasababu CCM ndio tiba na suluhisho la changamoto na matatizo ya wananchi.

View: https://www.youtube.com/live/ptKkX_lQFHU?si=ohjI1fGkU8xD7GaO

Sasa kama inapendwa we unakuja kumuandikia nani wakati kwa mujibu wajo kila mmoja anaipenda?shense sana
 
Back
Top Bottom