yegella
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 3,113
- 1,102
Juzi kulianzishwa thread moja iliyokuwa na kichwa cha habari " M4C DAR es Salaam from HERO........to ZERO" ikimuonyesha mtu mmoja aliekuwa akihutubia akidaiwa kuwa ni Godbless Lema huku kukiwa na watu wachache sana na akiimanisha kuwa chadema imeanza kuporomoka na haina guvu kabisa dar, huu ni uongo kabisa uliofanya na mwana-JF Jeykey .. ukiangalia kwa ile picha si ya Godbless lema kama mleta mada hiyo alivyotaka watu waamini, picha hiyo ni ya Mh Diwani wa kata ya Segerea Azuhuri Mwambagi, na kwa kujilizisha zaidi niliwasiliana na Lema na alisema hakufanya mkutano wowote jumamosi na zinazoonekana ni mikutano ya zamani ambayo haihusiani na M4C, picha hizo zimechukuliwa kutoka kwenye blog ya LUKAZA: FREDY MPENDAZOE AFANYA MKUTANO WA HADHARA TABATA LIWITI KATA YA SEGERA JIONI YA LEO baadhi ya picha za mkutano huo ambazo ndiyo zilizo tumika juzi kutaka kuwadanganya wana JF kuwa M4C imepoteza umarufu ni hizi:
Attachments
Last edited by a moderator: