Najijua
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 1,039
- 180
Wadau naona CCM wamefilisika na wanataka kuanza kujibu mapigo ya Operesheni Sangara kwa kuzunguka nchi nzima kwa kigezo cha kuwatambulisha gamba jipya la nyoka lilovaliwa kwa wanachama wao na kwenda kuwaeleza juu ya hatua na mageuzi waliyoyafanya na wanayoyataka kuyafanya kushugulikia mafisadi.