DURUYAPILI
Senior Member
- Apr 23, 2015
- 132
- 47
CCM yaendelea kumeguka tena zanzibar, Juma muhamed ally atimkia Cuf. Hii imetokea jana huko zanzibar. Source magazetini rfa
CCM yaendelea kumeguka tena zanzibar, Juma muhamed ally atimkia Cuf. Hii imetokea jana huko zanzibar. Source magazetini rfa
Muathirika wa pombe aina ya gongo au kiroba ndio nouma hahahaha! umenifurahisha sana mkuu.Kila tukio la ccm kwasasa ni kuelekea katika kaburi la sahau, mpaka kufikia oktoba kitakuwa kama muathirika wa utapiamlo
Muathirika wa pombe aina ya gongo au kiroba ndio nouma hahahaha! umenifurahisha sana mkuu.
CCM yaendelea kumeguka tena zanzibar, Juma muhamed ally atimkia Cuf. Hii imetokea jana huko zanzibar. Source magazetini rfa
Juma Mohamed ally alikuwa ni nani CCM Zanzibar..? au umeweka post umekurupuka kutoka usingizini...? Taarifa ambayo imetangazwa ni kwamba CCM Zanzibar imepata pigo kwa kada wake wa siku nyingi anaitwa Mohamed Hashim Ismail amejiunga na Cuf na anagombea nafasi ya uwakilishi Katika jimbo la dimani, kada huyu aliwahi kuwa MNEC, na naibu waziri katika awamu ya DR salmin, aidha alikuwa Kamishna wa Bodi ya mapato ZNZ kuanzia 2001-2013.
kwa hyo huwezi kuchangia bila kutoka povu kwanza? Maana ya jukwaa ni kushare ideas na pasipo kamilika mchangiaji anaowajibu wa kukamilisha hyo taarifa. Hii inaonesha ulvoduni katka kuvumiliana kimawazo.