CCM na mkakati wa ushindi 2025

ChawaWaMama

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2023
Posts
1,786
Reaction score
3,283
GTs,

Wadau, hakika CCM mpaka sasa iko vizuri mno, maana maadui zetu wamesambaratika, yaani wameishiwa sera mpaka wanasema hawataki uchaguzi.

Tuendelee kuiunga mkono CCM.
 
Sawa, Ni reform No election.
 
GTs,

Wadau, hakika CCM mpaka sasa iko vizuri mno, maana maadui zetu wamesambaratika, yaani wameishiwa sera mpaka wanasema hawataki uchaguzi.

Tuendelee kuiunga mkono CCM.
wapo vizuri kwani CCM wamejipanga kushinda kwa njia Halali, Nusu Halali na Haramu!

Nawaonea huruma Chama Cha Ubwabwa na Maharage, sijui ruzuku itatokea wapi

#NoReformsNoElection
 
GTs,

Wadau, hakika CCM mpaka sasa iko vizuri mno, maana maadui zetu mesambaratika, yaani wameishiwa sera mpaka wanasema hawataki uchaguzi.

Tuendelee kuiunga mkono CCM.
"Uchaguzi wa serikali za mitaa usubiri Hadi katiba mpya ikamilike"Tumia akili na signature yake the state!

Hao ni chadema!!?
 
No reform No Election
 

Attachments

  • IMG-20250608-WA0009.jpg
    110.5 KB · Views: 19
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…