mchemsho
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 3,215
- 867
kwa kuzingatia kuwa serikali ya kikwete hakuna cha maana ilicho kifanya ambacho kinawagusa wananchi moja kwa moja , imeibuka na mkakati wa kuzunguka nchi nzima kuwalazimisaha wanachi waamini kwamba serikali ya kikwete imefanya meeeengi mema na maamuzi kibao magumu tu..kwa mantiki hiyo watanzania wengi ambao hawaoni chochote cha maan serikali ya JK imefanya tutaonekana tuna chuki, udini na (..)