Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 359,869
- 828,403
Je kuna haja ya kufanya haya maigizo ya kijinga namna hii? Upotevu na ufujaji wa pesa na muda ?
Kwa uchaguzi upi lakini? Huu wa kiini macho uliokwisha malizika kwa kura za wizi?
Mabilioni yalishatengwa, mabilioni yalishakusanywa toka vyanzo tata na vyenye walakini mkubwa
Kuna wafanyabiashara wameshakamuliwa mamilioni na mabilioni kwa ahadi za kupewa upendeleo maalum kwenye mirafi ya serikali tenda na hata kodi.. Upendeleo maalum kwenye tunu za Tanganyika, kununua, kukodi kupanga nk
Uchaguzi ulishakwisha na kila aliyetoa pesa yake ashajua atairudishaje! Tena maradufu..!
Hiyo harambee ya Leo ni hadaa na kutaka kuwafanya Watanganyika ni wapumbavu sana!
Tayari walishamaliza kampeni zao kwa kusambaza mabango nchi nzima ya kusifiana! Ni nani anajua ile pesa ilitoka wapi na ilikuwa bei gani?
Vilichapishwa vitu mbalimbali picha ya mgombea wao na vikasambazwa bure nchi nzima! Je vyote hivyo viligharimu bei gani na toka chanzo gani cha mapato?
Kuna magari SUV
Kuna ma bus yutong zaidi ya 60
Kuna pikipiki.. Idadi haijulikani
Kuna baiskeli idadi haijulikani nknk
Kuna vikundi vya wapambe chawa na kunguni.. Vote hivi vilichotewa mihela toka vyanzo visivyojulikana!
Ni kichekesho na maajabu ya karne kuambiwa Leo hii ccm wanataka kuitisha harambee kuchangiwa pesa ya uchaguzi mkuu
Hiyo harambee ni changa la macho kutakatisha pesa zisizo safi
Watatuonesha wamezipata na kuvuka lengo ili kufanya justification ya kukubalika na kupendwa.. Kisha watazifuja zote ukijumlisha na zile bilion mia 7 za serikali/tume ya uchaguzi
Yaani kipindi hiki kuna watu wamekula mpaka wamezikimbia
CCM ishauriwe kwa weledi! Hakuna haja ya kuteketeza mabilioni ya pesa za Tanganyika na Watanganyika kwenye jambo bandia linaloitwa uchaguzi.. Wazinusuru hizo pesa
Zikasaidie kwenye afya
Kwenye lishe bora
Kwenye elimu ya viwango
Kwenye miundombinu imara nknk.. Kisha wajipitishe, wajichague mezani na kujitangazia ushindi maisha yaendelee
Inakera na kuumiza sana kuona Watanganyika million 60 na ushee tunafanywa wajinga na kikundi kidogo cha watu
Kwa uchaguzi upi lakini? Huu wa kiini macho uliokwisha malizika kwa kura za wizi?
Mabilioni yalishatengwa, mabilioni yalishakusanywa toka vyanzo tata na vyenye walakini mkubwa
Kuna wafanyabiashara wameshakamuliwa mamilioni na mabilioni kwa ahadi za kupewa upendeleo maalum kwenye mirafi ya serikali tenda na hata kodi.. Upendeleo maalum kwenye tunu za Tanganyika, kununua, kukodi kupanga nk
Uchaguzi ulishakwisha na kila aliyetoa pesa yake ashajua atairudishaje! Tena maradufu..!
Hiyo harambee ya Leo ni hadaa na kutaka kuwafanya Watanganyika ni wapumbavu sana!
Tayari walishamaliza kampeni zao kwa kusambaza mabango nchi nzima ya kusifiana! Ni nani anajua ile pesa ilitoka wapi na ilikuwa bei gani?
Vilichapishwa vitu mbalimbali picha ya mgombea wao na vikasambazwa bure nchi nzima! Je vyote hivyo viligharimu bei gani na toka chanzo gani cha mapato?
Kuna magari SUV
Kuna ma bus yutong zaidi ya 60
Kuna pikipiki.. Idadi haijulikani
Kuna baiskeli idadi haijulikani nknk
Kuna vikundi vya wapambe chawa na kunguni.. Vote hivi vilichotewa mihela toka vyanzo visivyojulikana!
Ni kichekesho na maajabu ya karne kuambiwa Leo hii ccm wanataka kuitisha harambee kuchangiwa pesa ya uchaguzi mkuu
Hiyo harambee ni changa la macho kutakatisha pesa zisizo safi
Watatuonesha wamezipata na kuvuka lengo ili kufanya justification ya kukubalika na kupendwa.. Kisha watazifuja zote ukijumlisha na zile bilion mia 7 za serikali/tume ya uchaguzi
Yaani kipindi hiki kuna watu wamekula mpaka wamezikimbia
CCM ishauriwe kwa weledi! Hakuna haja ya kuteketeza mabilioni ya pesa za Tanganyika na Watanganyika kwenye jambo bandia linaloitwa uchaguzi.. Wazinusuru hizo pesa
Zikasaidie kwenye afya
Kwenye lishe bora
Kwenye elimu ya viwango
Kwenye miundombinu imara nknk.. Kisha wajipitishe, wajichague mezani na kujitangazia ushindi maisha yaendelee
Inakera na kuumiza sana kuona Watanganyika million 60 na ushee tunafanywa wajinga na kikundi kidogo cha watu