la mwinyxian
New Member
- Dec 8, 2016
- 2
- 1
Ni kweli kwenye chaguzi hizi hatuna nafasi maalum za upendeleo kwa vijana , lakini binafsi ningependa vijana wajitokeze kushiriki zaidi katika hatua zote za uchaguzi . Ninaamini vijana wana uwezo wa kushiriki na kushinda ila ni lazima vijana kutambua na kuzingatia pia kuwa uongozi wa nchi hii siku zote umekuwa mikononi mwa CCM , na lengo letu ni kuwa uendelee hivyo .
Lakini , hiyo itawezekana tu iwapo Chama chetu kitakuwa na uongozi bora , uongozi wenye uwezo , uongozi unaojituma kwa maendeleo ya taifa , uongozi uliosheheni uadilifu na umakini , uongozi unaoweka mbele maslahi ya taifa na wananchi , uongozi usiohusudu maslahi binafsi .
#kijanaWavijana
#ItikadiKijiweni
#KijiweMaarif
Lakini , hiyo itawezekana tu iwapo Chama chetu kitakuwa na uongozi bora , uongozi wenye uwezo , uongozi unaojituma kwa maendeleo ya taifa , uongozi uliosheheni uadilifu na umakini , uongozi unaoweka mbele maslahi ya taifa na wananchi , uongozi usiohusudu maslahi binafsi .
#kijanaWavijana
#ItikadiKijiweni
#KijiweMaarif