CCM na CHADEMA kuwa makini na hii Picha!

CCM na CHADEMA kuwa makini na hii Picha!

Honestly speaking hiyo 2015 kama kwenye uraisi nampigia campaign lowasa kama akigombea,he deserve to be
 
Hapo raisi mmoja tuu labda na mwiny waliobaki wazururaji wa ikulu na mmoja ni fisadi
 
naamini 2015 LOWASAN ATAKUWA RAIS AKPANGACHO MUNGU BNADAMU HAWEZI KUKIZUIA

Ulizungumza na MUNGU lini na wapi akakwambia mipango yake juu ya huyu mwizi? Mungu anawapenda watu wake na ndio maana atawaepusha na hiki kikombe cha huyu fisadi!!
 
Wote waporaji tu wa Rasilimali zetu... mwendelezo wa shida tu na ufisadi!!!? . Lowasa should not ne trusted!! kama kampani yake ni kina Rostam... atashindwaje kugeuka km kikwete alivogeuka? wake up people... Ndio maana wenzetu walioendelea a presidential candidate has to be screened kwanza akikutwa na doa tu...disqualified!
 
watu wa protocali wanachemsha ni kwanini wasiwapange kwenye bench moja pamoja na viongozi wa vyama vya upinzani?? kati ya lowasa na Lipumba au dr Llaa nani anarank juu zaidi???
 
Back
Top Bottom