GE2025 CCM mwaka huu hawatoi Fomu ya Urais?

GE2025 CCM mwaka huu hawatoi Fomu ya Urais?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

SSH2025_2030

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2012
Posts
9,661
Reaction score
9,753
Tulioshangaa 2020 CCM kuprint nakala moja ya Urais kwa Urais tumepigwa kitu kizito na Chama kutokutoa Fomu Hata Ile moja ya ngama.

Kila mtu atachanganyikiwa wakati ukifika. Bado kuzima internet
 
Back
Top Bottom