Papa D
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 753
- 182
Kwa mwenendo nliouona jana bungeni nimeisikitikia sana CCM maana inajichimbia kaburi na kuipandisha CDM kwa mambo ambayo wala DCM hawahitaji kupandishwa kwayo. Mfano:-
1. Lema aliomba mwongozo kuhusu waziri mkuu kulidanganya Bunge. kilichotokea ni kufokewa kisha akaambiwa alete ushahidi. alipopeleka ushahidi spika akasema atausoma. Mpaka leo Kimyaaaaa!!
2. Jana Mbunge kasema wabunge waliobishana na Kiti cha spika wapimwe akili - haraka haraka Jenista akalitolea majibu!
3. Waziri kaomba mwongozo alipopewa akaanza kutoa hotuba - ilipoingizwa hoja ya kutaka clarification ya hiyo hotuba mtoa hoja akatolewa nje!!
THEN: Where are we going with fair discussions?
CCM must know that Current Tanzanians analyses things critically!! therefore they must watchout their moves.
If I was Ndugai on the issue of Lissu, Msigwa and Lema I would do the following:-
1. Remove those three
2. Pick any one or two prominent CCM MPs then, remove them together with those three guys above. Such move could shade the complaint that the Speaker is biased!
1. Lema aliomba mwongozo kuhusu waziri mkuu kulidanganya Bunge. kilichotokea ni kufokewa kisha akaambiwa alete ushahidi. alipopeleka ushahidi spika akasema atausoma. Mpaka leo Kimyaaaaa!!
2. Jana Mbunge kasema wabunge waliobishana na Kiti cha spika wapimwe akili - haraka haraka Jenista akalitolea majibu!
3. Waziri kaomba mwongozo alipopewa akaanza kutoa hotuba - ilipoingizwa hoja ya kutaka clarification ya hiyo hotuba mtoa hoja akatolewa nje!!
THEN: Where are we going with fair discussions?
CCM must know that Current Tanzanians analyses things critically!! therefore they must watchout their moves.
If I was Ndugai on the issue of Lissu, Msigwa and Lema I would do the following:-
1. Remove those three
2. Pick any one or two prominent CCM MPs then, remove them together with those three guys above. Such move could shade the complaint that the Speaker is biased!