CCM must go for the year 2020!

Ccm na Dr. Magufuli watashinda tena sana.

Kwa upinzani wa Tanzania ; kuwapa nchi ni sawa na kuamini kuwa Tai ataacha kula mizigo iliyooza huko nyikani.
 
Reactions: nao
Hizi lugha siyo zetu, bora ungeandika Kiswahili chetu. Kichwa cha habari kipo tofauti na unachokisema kwenye bandiko lako. CCM must go for year 2020, inamaanisha CCM must stand/contest/contend in the year 2020 which is obvious...
Mkuu error za kiuandishi nimezingindua baada ya post,kwahiyo content iko wazi.
 
MAHANJU.
 
Nileze ni nchi gani duniani aliibuka mpinzani aliyekulia upinzani akaongoza taifa? Hao marais wote wa Nigeria,Ghana na kwingineko walitokea ruling parts.
Haya ndio madhara ya kujifanya mnajua kuchambua siasa,
Hao walikuwa na heshima tosha! Hawakuwa mafisadi wala kuwa na makandokando mengine!
Mshawishini mtu kama Salim Ahmed Salim, hawa ndo watu wa calibre hii walioshinda nchi zingine wakitokea vyama tawala, sio MAFISADI.
 
ccm ni chama cha makafiri na mafirauni.
Hakina hadhi wala sifa ya kuwa chama tawala kwa ridhaa ya wananchi; isipokuwa kwa hila, ulaghai na mabavu ya dola tu.
Sipendi mawazo kama haya.....mnakaa kudanganya watu kwa faida Zenu binafsi...hamtafanikiwa kamwe
 
This is true my brother.

Upinzani wanapaswa kulaumiwa sana tena sanaa, maana ari ya mabadiliko ipo ila wameshindwa kuvalia njuga masuala ya msingi kama katiba mpya, there is no way wakapata nafasi kwa katiba hii .

Another thing wameamua kuwa chama pinzani tuu ila hawaonyeshi utofauti wa kuaminiwa kupewa madaraka kabisa
 

Ukiacha siasa za majukwaani wapinzani hawana nia ya kuchukua nchi kivitendo.......

Mtaji mkubwa wa wanasiasa wa nchi hii sio weledi wa mambo bali ni UNAFIKI na UZUSHI......

SIKU VIJANA WA NCHI HII WATAKAPOANZA KUTUMIA AKILI ZAO NA KUJITOA KWENYE MIHEMKO NDIO SIKU AMBAYO ZITAKAPOANZA HARAKATI ZA KWELI ZA KUIONDOA CCM MADARAKANI........
 
HATA KAMA CCM IKITOKA CHADEMA MNA NANI WA KUTUFANYA TUMPE KURA MAANA MNAKUWA KAMA WATOTO HAMNA MIPANGO YA KUCHUKUA NCHI MNA MALALAMIKO YA KUCHUKUA NCHI
 
Naona anguko kubwa la ccm


mlogolaje ,
Mkuu ccm ingeweza kuanguka kama Mwenye chair cdm angekuwa na hekima pale mtu anapoondoka kwao.

Angalia ccm wanaimba taarabu na ngojera mtu akiondoka kwenda upinzani.

Wapinzani hasa CDM wanalaani tabia hiyo ya watu wa ccm kuimba taarabu na ngojera.


Ndani ya mwezi uo huo, mwana cdm anaondoka tena hajasema hata chama anachoenda Bali kasema kuwa yeye anasimama mambo ya siasa kwanza ili ajitathimini mwelekeo wake kisiasa.

Sasa, kosa lilelile la kuimba taarabu na ngojera linatoka CDM kwenda kwa mtu aliyehama hicho chama.
Tena mbaya zaidi ni pale mwenye chair wa CDM anapoimba hiyo taarabu na kusoma ngojera kuwa:-
""" kwanza , fulani hata akiondoka huku cdm, ni Sawa maana, tangia ajiunge nasi hatujawahi kuona faida yake "

Kwa tamko hilo, unaona kabisa kuwa kuanzia mwaka 2019 hadi katikati mwa mwaka 2020 watu huwa wanahama vyama ,,,, je, kwa tamko hilo la mwenye chair wa cdm patakuwa na watu wenye shauku ya kujiunga huko CDM!?

Any way, ccm japo inaweza kuwa na madudu mengi ila bado itashinda kwa kishindo hiyo 2020
 
Tukiiondoa ccm tuweke chama gani?
Au tumweke nani?
Chadema wazee wa dili au fisadi Lowasa?
Kijana jitambue
 
Eti wagombea ubunge wasipate hata kura 10 kwa njia yoyote ile!! Kimekuwa kijiwe cha kujazana ujinga..
 
Nileze ni nchi gani duniani aliibuka mpinzani aliyekulia upinzani akaongoza taifa? Hao marais wote wa Nigeria,Ghana na kwingineko walitokea ruling parts.
Haya ndio madhara ya kujifanya mnajua kuchambua siasa,
Siyo kwa makapi haya mnayookoteza Tanzania. That can never happen. Period
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…