CCM msikubali, leteni mgombea mpya

Huyu mama anatumia mwanae aitwaye Abdul kupiga hela. Kuna deal la kijana huyo akishirikiana na waziri wa mambo ya ndani walivyokwapua mabilioni. Hiyo taarifa kila ikiletwa humu JF mods wanaiondoa haraka sana!
Hata jpm alikuwa mwizi kupitia doto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…