CCM Morogoro yaisambaratisha CHADEMA Ifakara

CCM Morogoro yaisambaratisha CHADEMA Ifakara

Baada ya kuigaragaza muda huo huo viwanda 100 vilijenģwa na kuanza uzalishaji wa bidhaa, mpaka muda hùu uchumi wa sehemu hïzo zilizochukuliwa na ÇCM unakuwa kwa kaşi ya asilimià 7.4

Ccm oyee
 
13912358_1568011230171684_8702212615280387452_n-jpg.1083566


IMF OYEEE.
CAG OYEEEE
TAARIFA TOKA MIKOA INAYOLIMA KOROSHO NI KWAMBA MPAKA LEO HAWAJALIPWA WAMEDQNGNYWA
 
Hii sio habari. Huu upuuzi tumeuzoea. Namsikitikia mama Lwakatare anayechanganya siasa na dini.

kuna taarifa kuna idadi kubwa sana ya wa mama wamenunuliwa vitambulisho vya umachinga na Mama lwakataee vinavyotolewa na mamlaka ya mji mdogo.

Huyu mama tayari kashaanza kampeni kwa ajili ya kura za maoni ndani ya ccm, na kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa 2020. Maana haishi kutembelea jimbo la mh Lijualikali.
Afrika ni bara la giza Sasa mlimleta mfumo wa vyama vyingi ili wazungu wawape misaada?
 
Uzuri mmoja kuna baadhi ya mashabiki ni kama wale nyumbu yaani wanaend huku mmoja akirudi nao hao wanarudi tena walikotoka hivyo wala haina shida keaho kutwa tuu ni swala mda amsha amsha ikianza ndo tutajua
 
Nilichokiona katika picha wote waliohudhuria ni wanaccm.Nilijua labda ni mkutano wa hadhara kumbe wa chama.
 
Nakiona kifo cha rafiki yangu kitambo ndgu Peter lijualikali hichoooooo
 
Ndugu hapo uchumi unaingiaje, ila ni kuwa tuu nguvu ya chadema itapungua.

Mwenye akili anaujua umuhimu wa vyama au chama cha upinzani katika serikali, dhoofu wa akili anashangilia kupungua nguvu kwa chama cha upinzani, lakini ni dhaifu zaidi anayejua sababu ya kupungua nguvu ni ukiukwaji wa haki za vyama na wananchi lakini bado anajipongeza.
 
Back
Top Bottom