Mmeondolewa na hamna mtakachofanya. Mtabaki kubweka tu mitandoani.Naenda kwenye mada moja kwa moja.
CCM mmefanya uteuzi wa makatibu wakuu nchi nzima, jambo ambalo ni nadra kufanyika au halijawahi kufanyika tangu tumepata uhuru.
Kwamba anaingia mwanachama wa chama CCM kushika wadhifa wa urais.Anashika pia wadhifa wa uenyekiti wa chama
Kisha anaanza kupangua safu yoote ya uongozi kuanzia ngazi ya taifa mpaka wilayani.
Hao watu unaowapangua ndio watendaji wa mashinani wanaokijua chama,kuliko hao vigogo mnaokaa nao huko makao makuu.
Lakini pia hata hao wakubwa wa chama unaowateua huko juu pia hawana uzoefu na siasa za CCM ikiwemo pia kutowajua wajumbe mikoani na jinsi ya ku deal nao.
Tumewaona wakipita wakitoa matamko ya kiserikali zaidi, kuliko ya kichama.
Kwa ufupi tu niseme wazi uamuzi huu meenyekiti hukushauriwa vizuri.
Hili kundi ni kubwa sana na kuliondoa kwa wakati mmoja, ukizingatia wao pia wana mitandao yao mpaka mashinani.
2025 hiyo unayojiandalia mwenyekiti usishangae lolote usiloweza kuamini likitokea, ukizingatia kwamba hata hao wabunge ni wageni wa siasa za majukwaani.
Upinzani wa kweli ndio unaweza kuzaliwa sasa.
Kama umefanya mapinduzi kuondoa mfumo mzima wa JPM, (ingawa hii ni tafsiri isiyo rasmi).
Angalieni tusije kutana wote vijiweni.
Huenda Kwa umefanya haya kwa sababu ambazo wananchi wa kawaida hatuzijui.
Lakini kwa wananchi wengi mashinani huko site wakawa na tafsiri yao tofauti,kama watatokea wa kuwashawishi na kuwaeleza vinginevyo na wakamuamini.
Alamsikh!
Imekula kwako ulikuwa unashinda mtandaoni hapa kazi yako kutukana tu. Nenda kalime Mpunga huko Malinyi mashamba kibao. Kwani lazima Katibu uwe wewe?Naenda kwenye mada moja kwa moja.
CCM mmefanya uteuzi wa makatibu wakuu nchi nzima, jambo ambalo ni nadra kufanyika au halijawahi kufanyika tangu tumepata uhuru.
Kwamba anaingia mwanachama wa chama CCM kushika wadhifa wa urais.Anashika pia wadhifa wa uenyekiti wa chama
Kisha anaanza kupangua safu yoote ya uongozi kuanzia ngazi ya taifa mpaka wilayani.
Hao watu unaowapangua ndio watendaji wa mashinani wanaokijua chama,kuliko hao vigogo mnaokaa nao huko makao makuu.
Lakini pia hata hao wakubwa wa chama unaowateua huko juu pia hawana uzoefu na siasa za CCM ikiwemo pia kutowajua wajumbe mikoani na jinsi ya ku deal nao.
Tumewaona wakipita wakitoa matamko ya kiserikali zaidi, kuliko ya kichama.
Kwa ufupi tu niseme wazi uamuzi huu meenyekiti hukushauriwa vizuri.
Hili kundi ni kubwa sana na kuliondoa kwa wakati mmoja, ukizingatia wao pia wana mitandao yao mpaka mashinani.
2025 hiyo unayojiandalia mwenyekiti usishangae lolote usiloweza kuamini likitokea, ukizingatia kwamba hata hao wabunge ni wageni wa siasa za majukwaani.
Upinzani wa kweli ndio unaweza kuzaliwa sasa.
Kama umefanya mapinduzi kuondoa mfumo mzima wa JPM, (ingawa hii ni tafsiri isiyo rasmi).
Angalieni tusije kutana wote vijiweni.
Huenda Kwa umefanya haya kwa sababu ambazo wananchi wa kawaida hatuzijui.
Lakini kwa wananchi wengi mashinani huko site wakawa na tafsiri yao tofauti,kama watatokea wa kuwashawishi na kuwaeleza vinginevyo na wakamuamini.
Alamsikh!
Naenda kwenye mada moja kwa moja.
CCM mmefanya uteuzi wa makatibu wakuu nchi nzima, jambo ambalo ni nadra kufanyika au halijawahi kufanyika tangu tumepata uhuru.
Kwamba anaingia mwanachama wa chama CCM kushika wadhifa wa urais.Anashika pia wadhifa wa uenyekiti wa chama
Kisha anaanza kupangua safu yoote ya uongozi kuanzia ngazi ya taifa mpaka wilayani.
Hao watu unaowapangua ndio watendaji wa mashinani wanaokijua chama,kuliko hao vigogo mnaokaa nao huko makao makuu.
Lakini pia hata hao wakubwa wa chama unaowateua huko juu pia hawana uzoefu na siasa za CCM ikiwemo pia kutowajua wajumbe mikoani na jinsi ya ku deal nao.
Tumewaona wakipita wakitoa matamko ya kiserikali zaidi, kuliko ya kichama.
Kwa ufupi tu niseme wazi uamuzi huu meenyekiti hukushauriwa vizuri.
Hili kundi ni kubwa sana na kuliondoa kwa wakati mmoja, ukizingatia wao pia wana mitandao yao mpaka mashinani.
2025 hiyo unayojiandalia mwenyekiti usishangae lolote usiloweza kuamini likitokea, ukizingatia kwamba hata hao wabunge ni wageni wa siasa za majukwaani.
Upinzani wa kweli ndio unaweza kuzaliwa sasa.
Kama umefanya mapinduzi kuondoa mfumo mzima wa JPM, (ingawa hii ni tafsiri isiyo rasmi).
Angalieni tusije kutana wote vijiweni.
Huenda Kwa umefanya haya kwa sababu ambazo wananchi wa kawaida hatuzijui.
Lakini kwa wananchi wengi mashinani huko site wakawa na tafsiri yao tofauti,kama watatokea wa kuwashawishi na kuwaeleza vinginevyo na wakamuamini.
Alamsikh!
Kujidanganya nini ?!!Acha wajidanganye
CCM igawanyike leo ?!!Wewe mmawia huijui siasa ya ndani ya CCM, wala sidhani kama unajua kinachoendelea kwingineko.
Tuachie tunaoyajua!
Hatutafuti vyeo mimi common mwananchi na nina kazi yangu ya kipato cha kulisha familia.
Chama kugawanyika kunaanzia hatua hii!
Kuna wengine sio wanafiki kama kina Nape,Makamba,Gambo,Ndugai nk.
Hakuna wa kumzidi mwenyekiti CCM....hayupo huyo.....Hali ni tete huko CCM.
Timu Magufuli (Sukuma Gang) inang'olewa kwa kasi ya ajabu ili timu Samia (Mkojani gang) ili ipate nafasi.
Safari hii lazima mtoane roho.
Wewe jamaa una maradhi ya udini moyoni....si thread hii unaongea hayo.......kamueleze aliyekufundisha maradhi hayo kuwa kamwe TAIFA halibomoki kwa hiyo mioyo yenu dhaifu.......Walimu wa dini?
Hiyo kitu inaitwa magufuli legacy ni kitu nzito sana labda mama amwage damu ya wazarendo 2000 hivi ndiyo atawezana nayo kuiondoaHali ni tete huko CCM.
Timu Magufuli (Sukuma Gang) inang'olewa kwa kasi ya ajabu ili timu Samia (Mkojani gang) ili ipate nafasi.
Safari hii lazima mtoane roho.
😍CCM ni chama kikubwa na kimeandaa viongozi wengi wa kutosha hata upinzani huwa teua kwenye vyama vyao!!!Mbio za vijiti ni kupokezana tu ndugu yangu!!!kunywa maji baridi upoze hasira!!Haya mavyeo haya ni ya kupita tu wala si ya milele!!!Jipe moyo ndugu Dunia mapito tu!!!
Mwenyekiti Taifa aliyetangulia alikuwa hana uzoefu wa kuendesha fitna za kisiasa ndani ya chama chake. Alikuwa ni mgeni na mwenye kukosa uzoefu na umakini.Naenda kwenye mada moja kwa moja.
CCM mmefanya uteuzi wa makatibu wakuu nchi nzima, jambo ambalo ni nadra kufanyika au halijawahi kufanyika tangu tumepata uhuru.
Kwamba anaingia mwanachama wa chama CCM kushika wadhifa wa urais.Anashika pia wadhifa wa uenyekiti wa chama
Kisha anaanza kupangua safu yoote ya uongozi kuanzia ngazi ya taifa mpaka wilayani.
Hao watu unaowapangua ndio watendaji wa mashinani wanaokijua chama,kuliko hao vigogo mnaokaa nao huko makao makuu.
Lakini pia hata hao wakubwa wa chama unaowateua huko juu pia hawana uzoefu na siasa za CCM ikiwemo pia kutowajua wajumbe mikoani na jinsi ya ku deal nao.
Tumewaona wakipita wakitoa matamko ya kiserikali zaidi, kuliko ya kichama.
Kwa ufupi tu niseme wazi uamuzi huu meenyekiti hukushauriwa vizuri.
Hili kundi ni kubwa sana na kuliondoa kwa wakati mmoja, ukizingatia wao pia wana mitandao yao mpaka mashinani.
2025 hiyo unayojiandalia mwenyekiti usishangae lolote usiloweza kuamini likitokea, ukizingatia kwamba hata hao wabunge ni wageni wa siasa za majukwaani.
Upinzani wa kweli ndio unaweza kuzaliwa sasa.
Kama umefanya mapinduzi kuondoa mfumo mzima wa JPM, (ingawa hii ni tafsiri isiyo rasmi).
Angalieni tusije kutana wote vijiweni.
Huenda Kwa umefanya haya kwa sababu ambazo wananchi wa kawaida hatuzijui.
Lakini kwa wananchi wengi mashinani huko site wakawa na tafsiri yao tofauti,kama watatokea wa kuwashawishi na kuwaeleza vinginevyo na wakamuamini.
Alamsikh!
Kumbe unaogopa kukaa kijiweni....Angalieni tusije kutana wote vijiweni
Matusi ndio katiba ya chadema ndio maana mmebaki wahuni huko watu wa heshima wote walikwishaondoka.Ccm ni kichaka cha wahuni kama wewe
Wanajali nini kama uchaguzi wenyewe ni wa Polisi na usalama wa taifa. Watendaji kwa sasa ni chawa tu hawana kazi!
Corona ndiyo kiboko yenuMatusi ndio katiba ya chadema ndio maana mmebaki wahuni huko watu wa heshima wote walikwishaondoka.
Na bado ndugu wa Chacha Wangwe wanapanga kutaka uchunguzi wa kifo cha ndugu yao ufanyike upya.
Gaidi hachomoki!
Huna sifa ya kuwa sehemu ya wastaarabu.Bwashee wambie machame wenzako sio mimi.