Naenda kwenye mada moja kwa moja.
CCM mmefanya uteuzi wa makatibu wakuu nchi nzima, jambo ambalo ni nadra kufanyika au halijawahi kufanyika tangu tumepata uhuru.
Kwamba anaingia mwanachama wa chama CCM kushika wadhifa wa urais.Anashika pia wadhifa wa uenyekiti wa chama
Kisha anaanza kupangua safu yoote ya uongozi kuanzia ngazi ya taifa mpaka wilayani.
Hao watu unaowapangua ndio watendaji wa mashinani wanaokijua chama,kuliko hao vigogo mnaokaa nao huko makao makuu.
Lakini pia hata hao wakubwa wa chama unaowateua huko juu pia hawana uzoefu na siasa za CCM ikiwemo pia kutowajua wajumbe mikoani na jinsi ya ku deal nao.
Tumewaona wakipita wakitoa matamko ya kiserikali zaidi, kuliko ya kichama.
Kwa ufupi tu niseme wazi uamuzi huu meenyekiti hukushauriwa vizuri.
Hili kundi ni kubwa sana na kuliondoa kwa wakati mmoja, ukizingatia wao pia wana mitandao yao mpaka mashinani.
2025 hiyo unayojiandalia mwenyekiti usishangae lolote usiloweza kuamini likitokea, ukizingatia kwamba hata hao wabunge ni wageni wa siasa za majukwaani.
Upinzani wa kweli ndio unaweza kuzaliwa sasa.
Kama umefanya mapinduzi kuondoa mfumo mzima wa JPM, (ingawa hii ni tafsiri isiyo rasmi).
Angalieni tusije kutana wote vijiweni.
Kwa
Sieeee tupo nkojaaniNaenda kwenye mada moja kwa moja.
CCM mmefanya uteuzi wa makatibu wakuu nchi nzima, jambo ambalo ni nadra kufanyika au halijawahi kufanyika tangu tumepata uhuru.
Kwamba anaingia mwanachama wa chama CCM kushika wadhifa wa urais.Anashika pia wadhifa wa uenyekiti wa chama
Kisha anaanza kupangua safu yoote ya uongozi kuanzia ngazi ya taifa mpaka wilayani.
Hao watu unaowapangua ndio watendaji wa mashinani wanaokijua chama,kuliko hao vigogo mnaokaa nao huko makao makuu.
Lakini pia hata hao wakubwa wa chama unaowateua huko juu pia hawana uzoefu na siasa za CCM ikiwemo pia kutowajua wajumbe mikoani na jinsi ya ku deal nao.
Tumewaona wakipita wakitoa matamko ya kiserikali zaidi, kuliko ya kichama.
Kwa ufupi tu niseme wazi uamuzi huu meenyekiti hukushauriwa vizuri.
Hili kundi ni kubwa sana na kuliondoa kwa wakati mmoja, ukizingatia wao pia wana mitandao yao mpaka mashinani.
2025 hiyo unayojiandalia mwenyekiti usishangae lolote usiloweza kuamini likitokea, ukizingatia kwamba hata hao wabunge ni wageni wa siasa za majukwaani.
Upinzani wa kweli ndio unaweza kuzaliwa sasa.
Kama umefanya mapinduzi kuondoa mfumo mzima wa JPM, (ingawa hii ni tafsiri isiyo rasmi).
Angalieni tusije kutana wote vijiweni.
Kwa
Labda kikubwa kwa udanganyifuCCM ni chama kikubwa na kimeandaa viongozi wengi wa kutosha hata upinzani huwa teua kwenye vyama vyao!!!Mbio za vijiti ni kupokezana tu ndugu yangu!!!kunywa maji baridi upoze hasira!!Haya mavyeo haya ni ya kupita tu wala si ya milele!!!Jipe moyo ndugu Dunia mapito tu!!!
Malizia mkuu, walimu wa dini ipi?Walimu wa dini?
Wewe mmawia huijui siasa ya ndani ya CCM, wala sidhani kama unajua kinachoendelea kwingineko.Labda kikubwa kwa udanganyifu
Hili bwabwa la chadema kila thread lipo....linaongea utombinyika tuLabda kikubwa kwa udanganyifu
Daima ukikosa hoja basi lazima utaangukia kwenye matusi.Hili bwabwa la chadema kila thread lipo....linaongea utombinyika tu
Ccm ni kichaka cha wahuni kama weweWewe mmawia huijui siasa ya ndani ya CCM, wala sidhani kama unajua kinachoendelea kwingineko.
Tuachie tunaoyajua!
Hatutafuti vyeo mimi common mwananchi na nina kazi yangu ya kipato cha kulisha familia.
Chama kugawanyika kunaanzia hatua hii!
Kuna wengine sio wanafiki kama kina Nape,Makamba,Gambo,Ndugai nk.
Bwa shee kitumbua kimeingia mchanga nini?? Mbona mapovuNaenda kwenye mada moja kwa moja.
CCM mmefanya uteuzi wa makatibu wakuu nchi nzima, jambo ambalo ni nadra kufanyika au halijawahi kufanyika tangu tumepata uhuru.
Kwamba anaingia mwanachama wa chama CCM kushika wadhifa wa urais.Anashika pia wadhifa wa uenyekiti wa chama
Kisha anaanza kupangua safu yoote ya uongozi kuanzia ngazi ya taifa mpaka wilayani.
Hao watu unaowapangua ndio watendaji wa mashinani wanaokijua chama,kuliko hao vigogo mnaokaa nao huko makao makuu.
Lakini pia hata hao wakubwa wa chama unaowateua huko juu pia hawana uzoefu na siasa za CCM ikiwemo pia kutowajua wajumbe mikoani na jinsi ya ku deal nao.
Tumewaona wakipita wakitoa matamko ya kiserikali zaidi, kuliko ya kichama.
Kwa ufupi tu niseme wazi uamuzi huu meenyekiti hukushauriwa vizuri.
Hili kundi ni kubwa sana na kuliondoa kwa wakati mmoja, ukizingatia wao pia wana mitandao yao mpaka mashinani.
2025 hiyo unayojiandalia mwenyekiti usishangae lolote usiloweza kuamini likitokea, ukizingatia kwamba hata hao wabunge ni wageni wa siasa za majukwaani.
Upinzani wa kweli ndio unaweza kuzaliwa sasa.
Kama umefanya mapinduzi kuondoa mfumo mzima wa JPM, (ingawa hii ni tafsiri isiyo rasmi).
Angalieni tusije kutana wote vijiweni.
Huenda Kwa umefanya haya kwa sababu ambazo wananchi wa kawaida hatuzijui.
Lakini kwa wananchi wengi mashinani huko site wakawa na tafsiri yao tofauti,kama watatokea wa kuwashawishi na kuwaeleza vinginevyo na wakamuamini.
Alamsikh!
Wewe unajua nini ndani ya ccm wakati kazi yako inaishia getini?Wewe mmawia huijui siasa ya ndani ya CCM, wala sidhani kama unajua kinachoendelea kwingineko.
Tuachie tunaoyajua!
Hatutafuti vyeo mimi common mwananchi na nina kazi yangu ya kipato cha kulisha familia.
Chama kugawanyika kunaanzia hatua hii!
Kuna wengine sio wanafiki kama kina Nape,Makamba,Gambo,Ndugai nk.
Ukiona analialia hapo ujue tayari kitumbua kimedondokea kwenye shimo la choooBwa shee kitumbua kimeingia mchanga nini?? Mbona mapovu
Sehemu kubwa ni wazanzibari