Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Nadhani ni Wakati sahihi wa CCM MKOA wa RUKWA kufanya MAGEUZI ya VIONGOZI kutoka Ngazi ya WILAYA mpaka MKOA.
CCM MKOA wa RUKWA imekuwa na VIONGOZI wabinafsi na wapo kwa Ajili ya Manufaa yao VIONGOZI wengi wanajishughulisha na UKANDARASI Matokeo yake Wanatumia UONGOZI wao KUJIPATIA KAZI kwa KUWATISHA Wakurugenzi na TBA na KUSABABISHA KAZI nyingi KUPEWA WAO.
Tunaiomba CCM TAIFA ilione hili kwani UONGOZI ni Kuongoza Njia kwa Wananchi Sio Kutumia UONGOZI Kujinufaisha
Wanaccm Rukwa tunataka VIONGOZI waadilifu WASIOJIPA KANDARASI kwa kutumia VYEO VYAO
CCM RUKWA imekuwa na Tabia ya kuwakata Majina Wagombea Wenye SIFA wakati wa UCHAGUZI wa WABUNGE na kupelekea kuwa na WABUNGE wasio na SIFA ya Kuteuliwa UWAZIRI
MKOA wa RUKWA una WASOMI wengi lakini Wanapokuja KUGOMBEA UBUNGE hukatishwa TAMAA na VIONGOZI wa CCM ngazi ya WILAYA mpaka MKOA
MKOA wa RUKWA una WABUNGE 4 wa KUCHAGULIWA lakini wote hawana SIFA ya Kuteuliwa kuwa MAWAZIRI
TUNAHITAJI Mabadiliko ya UONGOZI.
CCM MKOA wa RUKWA imekuwa na VIONGOZI wabinafsi na wapo kwa Ajili ya Manufaa yao VIONGOZI wengi wanajishughulisha na UKANDARASI Matokeo yake Wanatumia UONGOZI wao KUJIPATIA KAZI kwa KUWATISHA Wakurugenzi na TBA na KUSABABISHA KAZI nyingi KUPEWA WAO.
Tunaiomba CCM TAIFA ilione hili kwani UONGOZI ni Kuongoza Njia kwa Wananchi Sio Kutumia UONGOZI Kujinufaisha
Wanaccm Rukwa tunataka VIONGOZI waadilifu WASIOJIPA KANDARASI kwa kutumia VYEO VYAO
CCM RUKWA imekuwa na Tabia ya kuwakata Majina Wagombea Wenye SIFA wakati wa UCHAGUZI wa WABUNGE na kupelekea kuwa na WABUNGE wasio na SIFA ya Kuteuliwa UWAZIRI
MKOA wa RUKWA una WASOMI wengi lakini Wanapokuja KUGOMBEA UBUNGE hukatishwa TAMAA na VIONGOZI wa CCM ngazi ya WILAYA mpaka MKOA
MKOA wa RUKWA una WABUNGE 4 wa KUCHAGULIWA lakini wote hawana SIFA ya Kuteuliwa kuwa MAWAZIRI
TUNAHITAJI Mabadiliko ya UONGOZI.