Wenzio wanafikiria kuteka teka, kuua na kupiga risasi wanao amini hawako upande wao. Jf wanatamani kuiteka na kupoteza.Hii dhana ya CCM na serikali yake kuuona huu mtandao ni hatari kwao ni ya kipuuzi Sana.ccm na serikali mnapaswa muelewe jamii forum ina watu wenye IQ kubwa kuliko vile mnavyo dhani. Jamii forum siyo kijiwe cha kahawa. Huyu musiba atashindwa hawezi kufanikisha ujinga wake dhidi ya jamii forum. Jamii forum imeshaibua mambo mengi ya kuisaidia nchi. Jamii forum si kijiwe cha kulazimishwa kumsifia mtu, humu tuna mawazo huru. Chonde Chonde CCM mkanyeni mtu wenu.kuendelea kuifatilia jamii forum mnapoteza muda.