tunaogopa kusema kuwa wanchi watariot lakini kitu cha msingi ni kuwa hatuna muda mrefu kwani nchi imekuwa na matatizo mengi wakati wao wanakura rundo la pesa za wananchi.
Ndio maana nimekuwa nikimshauri mkuu wa kaya naamini kuwa anaingia ukumbini hapa mwenyewe bila kuwatuma hakina Salva, njia sahihi ni kujiuzuru na kuitisha uchaguzi upya nina uhakika kwa wakati tulionao atashinda tu, lakini tunavyosogea mambo yanaharibika zaidi na kuleta mgogoro kwa CCM kuingia madarakani bila wizi wa kura.