Kirode
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 3,566
- 82
Juzi nilikuwa hapo dar makao makuu ya ccm nilimtembelea rafiki yangu anaofisi hapo na ndio mara yangu ya kwanza kuingia hapo, kweli hali ya iyo ofisi ni mbaya lifti imekufa jengo chafu , parking chafu. Nikamuuliza mnalipiaje kodi wakati mazingira machafu ivi? Akanijibu hapa ukitaka kufanya kazi inatakiwa upasifie tu hata ukikuta choo kimeziba inatakiwa useme ccm oye, ukifanya kinyume unafukuzwa kweli nimecheka sana mukama amka....